Hili ni punguzo la tozo za mafuta au ni kiini macho?

Hili ni punguzo la tozo za mafuta au ni kiini macho?

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Taarifa ya EWURA iliyopandisha bei ya mafuta kwa kiasi cha Shilingi 12 kwa lita eti inatufahamisha kuwa kuna punguzo la tozo katika bidhaa za mafuta!

Ninajiuliza sasa kama kweli tozo zimepunguzwa si ina maana bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi cha Shilingi 12 zilizotajwa?

Ninajiuliza sasa hilo ni punguzo au kiini macho? WaTanzania tumelala hadi tunakera! Tunadanganywa hivi hivi mchana kweupe na tunaona kwa macho yetu haya haya!

Pyuuuuuuuu!
 
Ewura hawana ubavu zaidi ya kutangaza bei wanazozitaka wafanyabiashara ya mafuta, huyu ni mbwa asiye na magego. Huwezi kusema unaweka tozo kwenye mafuta wakati madelu keshaweka tozo kwenye miamala.....kila ukitambaa na mwamala umelimwa tozo, haya kazi iendelee.
 
Tumepunguza ingekuwa kubwa zaidi ndio maana serikali ikawa sikivu na kuwafikiria....yote tisa kumi, sisi tumekubali na wewe utakubali
20211006_052127.jpg
 
Taarifa ya EWURA iliyopandisha bei ya mafuta kwa kiasi cha Shilingi 12 kwa lita eti inatufahamisha kuwa kuna punguzo la tozo katika bidhaa za mafuta!

Ninajiuliza sasa kama kweli tozo zimepunguzwa si ina maana bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi cha Shilingi 12 zilizotajwa?

Ninajiuliza sasa hilo ni punguzo au kiini macho? WaTanzania tumelala hadi tunakera! Tunadanganywa hivi hivi mchana kweupe na tunaona kwa macho yetu haya haya!

Pyuuuuuuuu!
Siasa nyepesi. Tengeneza tatizo halafu tengeneza suluhisho

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cha kuchelesha eti Rais kaingikia kati kuondoa sh 140 kwa muda ili sheria ziende tena Bungeni.

Lah hivi nani alizipitisha? Yaani bunge la Tanzania bila Lissu watanzania tutakula matamgo pori hadi tutie adabu.

Yaani ni hivii.....You create a problem..you solve..then you ask for credit.
 
Cha kuchelesha eti Rais kaingikia kati kuondoa sh 140 kwa muda ili sheria ziende tena Bungeni.

Lah hivi nani alizipitisha? Yaani bunge la Tanzania bila Lissu watanzania tutakula matamgo pori hadi tutie adabu.

Yaani ni hivii.....You create a problem..you solve..then you ask for credit.
Hakika!
 
Back
Top Bottom