Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu nakubaliana na wewe hao ni Wagogo na Wakaguru wa Kibaigwa na GairoMkuu hiyo minada ya ugogoni
Pengine ni sehemu ya THE ROYAL TOUR
Hapa ni Ngorongoro, ndiyo maana serikali iliwafukuza hawa watu (Wamasai) kwenda Tanga na sehemu zingine.
Hapo ni mnada wa mbulu, manyara
imefanana na sehemu moja huko Babati wanaita Dareda Centre ,hata hicho kidimbwi ni kama ile.Hapo ni mnada wa mbulu, manyara
Bora Wao wana vya Kwao. Wewe si unajenga Uchumi wa Wachina Huko kwa Kununua Vitu Vyao..
niliwahi kufanya kazi babati kwahiyo nafahamu maeneo mengi ya huko,na hata Dabil nimewahi kukaa hapoHuko kuna sehemu inaitwa Dabil ndo ID yako inavyosema, je mkuu ni wa huko?