Hili ni tatizo au wanastahili?

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Ukweli ni kwamba mimi nikisikia mwanasiasa yeyote sijui katekwa sijui kapigwa sijui kafariki sishtuki hata kidogo na hata tone la huruma halinijii najua ni matokeo ya ugali wanaoutafuta kwa hila za kujifanya wanapenda maendeleo ya watu. Mimi nilivyosikia Sarungi katekwa niliumia sana na wengineo ila nilivyosikia kuhusu Soka sikushtuka wala kuumia hata yule kada wa CCM Iringa pia sikushtuka wala kuwaza. Inshort siwapend wanasiasa hata kwa 0.0001%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…