dah,pole sana. na hata angekuwapo tabibu si ajabu ni yule wa std 7 na darubini iliyokufa! inaweza kuwa vitu vingi,nakushauri umtaftie matibabu walau mkale maisha town,mwisho wa mwezi huu! ni mwanamke ama mwanaume? je maumivu ni sehemu hiyo kila siku,kila mwezi(najarbu kuoanisha na mzunguko wa mwezi kama ni mwanamke)?