Hili ni tatizo gani?

Hili ni tatizo gani?

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,023
Reaction score
12,811
Kuna ndugu yangu anasumbuliwa na maumivu chini ya tumbo sehemu ya kulia. Na hasa tatizo hilo humpata pale anapofanya kazi ngumu. Tatizo huku tuna zahanati isiyo na daktari waliishia kumpa dawa kutuliza maumivu! Kwa wajuzi inaweza ikawa inasababishwa na nini??
 
dah,pole sana. na hata angekuwapo tabibu si ajabu ni yule wa std 7 na darubini iliyokufa! inaweza kuwa vitu vingi,nakushauri umtaftie matibabu walau mkale maisha town,mwisho wa mwezi huu! ni mwanamke ama mwanaume? je maumivu ni sehemu hiyo kila siku,kila mwezi(najarbu kuoanisha na mzunguko wa mwezi kama ni mwanamke)?
 
Ni mwanaume na maumivu ni ya kila siku!
 
Back
Top Bottom