Hili ni tatizo kubwa kwa wanandoa

Tendo la ndoa ndiyo uti wa mgongo ndoa yenyewe, ukifanya kujua hapo! Mwisho majuto tu.
 
MBITIYAZA (Fisi mwekundu)
Vitendo vya leo ndiyo maandalizi ya kesho. (Ndizi inapoiva ndiyo mwanzo wa kuoza na inakuwa haifai tena)
 
😱(QUOTE="MBITIYAZA, post: 22818794, member: 411094"]mie hata miez 9 naweza kuwa nachoka daily... hutak acha week mbn chamtoto mkuu! hehehe[/QUOTE]
Duh...hatari sana hii. Nami ninae penda iwe at least mara 3 kwa wiki sijui itakuwajeπŸ˜±πŸ˜±πŸ™„
 
Duh...inaonekana hili ni tatizo kubwa kiasi hiki? Natamani nije kukata kiu zenu... Sijui nije niombe sub?! πŸ™‚πŸ˜‰πŸ™„
mie hata miez 9 naweza kuwa nachoka daily... hutak acha week mbn chamtoto mkuu! hehehe
Duh...hatari sana hii. Nami ninae penda iwe at least mara 3 kwa wiki sijui itakuwaje
Mkeo akichoka mwache apumzike, pia ni vyema kumuandaa mapema hata siku mbili kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…