FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
kama kiingereza ni lugha yako ya pili na haukitumii kwenye kazi zako za kila siku huna haja kukijua kihivyo...cha kuombea maji tu kinatosha..
Eti...hata ukikutana na mjapani anayejaribu kuwasiliana kwa kiingareza, nao wanaunga unga tu...