Hili ni tatizo kwa Ronaldo, ni la muda mrefu

Hili ni tatizo kwa Ronaldo, ni la muda mrefu

Wapo mastriker wenye unyenyekevu na utulivu ...mfano Drogba msimu wa 2009 - 2010 alikuwa amelingana idadi ya magoli na Wyne Rooney na alitakiwa afunge goli moja Tu ili awe mfungaji bora ilikuwa ni mechi ya mwisho kufunga msimu na Chelsea walipata penalty ila cha kushangaza Lampard akaing'ang'ania kupiga yeye na drogba akatulia japokuwa alichukizwa...ila Mwisho wa siku Drogba alikuja kupiga Hat-trick na akabeba Golden Shoe.

Hata Messi msimu huu psg haujakaa sawa kwake lakini yeyote akifunga unaona anakimbia kwa Furaha na kukumbatia aliyefunga ....

Sent from my TA-1032 using JamiiForums mobile app
Ile siku ya Chelsea siisahau ndo nilijua wazungu hawapendi waafirka they r always for themselves...!!! Jirani na nyumbani palikua na kibanda cha Mpira mbagala kipati kwa bibi mmoja bongeee bwana Drogba alivoshinda zile shangwe[emoji1][emoji1][emoji1]sitasahau aseehh!watu walifurahi kupitiliza!
 
Angekuwa bongo basi uzee wake kwa asilimia kubwa angekuja kuwa mchawi.
 
ndio maana Messi huwa anakubalika kote duniani hana upumbavu kama huyu mapenalti uwezo wenyewe umeisha analazimisha
 
Hakuna striker yoyote Duniani mwenye tabia ya kufurahia mwenzake akifunga yeye akiwa hajafunga. Sifa ya Striker ni yeye kuwa Kwanza, ubinafsi, umimi, uchu, mbaka iwe Hana namna ndio apewe mwingine.

Ndivyo walivyokua na watakavyo kua ma striker wote Hatari. Mbaka ukimuona kafikisha goli 801 usifikiri mtu mwenye kutoatoa pass saaana. Iyo haipo . Ukiona striker ana assist Sana ujue Kuna shida.
uongo mkubwa sana
Hivi unazijua assists za suarez?
Au suarez sio namba 9?
Hajaanza kucheza zamani kama Ronaldo lakini angalia kazi yake anafunga na anawapa wenzie vile vile

Kama suarez angeendela kubaki England tungeongea mengine.

Huyo Ronaldo ni mbinafsi tu na mchoyo utadhani team nzima yuko mwenyewe tu
 
Kuna watu wengine mpira mmejua juzi mnakuja kuropoka tu jf muonekane mmo na nyinyi

Hivi mnajua tabia za ma straiker ?


Unajua ugomvi wa Salah na Mane ulitokana na nini ?

Na mnajua klopp alisemaje kuhusu hilo


Umeangalia ma striker wote kwenye ligi zote uka conclude ni Ronaldo peke ake ?
 
uongo mkubwa sana
Hivi unazijua assists za suarez?
Au suarez sio namba 9?
Hajaanza kucheza zamani kama Ronaldo lakini angalia kazi yake anafunga na anawapa wenzie vile vile

Kama suarez angeendela kubaki England tungeongea mengine.

Huyo Ronaldo ni mbinafsi tu na mchoyo utadhani team nzima yuko mwenyewe tu
Hivi unamjua mchezaji anayeongoza kwa assist wa muda wote Uefa champions league?
 
Hivi unamjua mchezaji anayeongoza kwa assist wa muda wote Uefa champions league?
Huwezi ku conclude kwa kutumia shindano moja tena la msimu.

Kiufupi umepuyanga angalia angalia record za mchezaji maisha yake yote unataka kusema Ronaldo ndio ana assists nyingi UEFA? Assists?????
 
Yuko hivyo hawezi kua unavyotaka hongera kama umemchunguza toka muda
 
Wapo mastriker wenye unyenyekevu na utulivu ...mfano Drogba msimu wa 2009 - 2010 alikuwa amelingana idadi ya magoli na Wyne Rooney na alitakiwa afunge goli moja Tu ili awe mfungaji bora ilikuwa ni mechi ya mwisho kufunga msimu na Chelsea walipata penalty ila cha kushangaza Lampard akaing'ang'ania kupiga yeye na drogba akatulia japokuwa alichukizwa...ila Mwisho wa siku Drogba alikuja kupiga Hat-trick na akabeba Golden Shoe.

Hata Messi msimu huu psg haujakaa sawa kwake lakini yeyote akifunga unaona anakimbia kwa Furaha na kukumbatia aliyefunga ....

Sent from my TA-1032 using JamiiForums mobile app
Mkuu lampard alileta uingereza nakumbuka drogba aliomba apige jamaa akamkazia kabisa hakutaka jamaa achukue kiatu
 
Naangalia game ya Man Utd vs Arsenal, man utd wamechomoa kupitia Bruno.

Wachezaji waliokuwa karibu na Bruno wamemkiblilia kushangilia pamoja Ila Ronaldo hakwenda.

Huwa ni kama anakua hana furaha mwingine akifunga.

Nimeliona hili kwa muda mrefu sana, hata kipindi yupo Madrid Benzema akifunga hutaona Ronaldo anakimbilia kumfuata kushangilia pamoja.

Ronaldo ni mchezaji mzuri sana kupita kiasi, Ila ana tatizo la ubinafsi sana.
Hata facial expression yake huonesha
 
Mkuu lampard alileta uingereza nakumbuka drogba aliomba apige jamaa akamkazia kabisa hakutaka jamaa achukue kiatu
Hio ndio maana yauzalendo sio hapa mnafurahia mugalu kumzidi magoli nchimbi
 
Huwezi ku conclude kwa kutumia shindano moja tena la msimu.

Kiufupi umepuyanga angalia angalia record za mchezaji maisha yake yote unataka kusema Ronaldo ndio ana assists nyingi UEFA? Assists?????
All time assist leader wa uefa ni yeye
 
Back
Top Bottom