Hili ni tatizo la mwalimu au serikali?

Hili ni tatizo la mwalimu au serikali?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Hivi huyu mwalimu mkuu wa hii shule kuruhusu kutumika kwa hilo darasa haoni kama ni hatari sana kwa maisha ya watoto na walimu. Hili ni tatizo la mwalimu mkuu/ mwalimu au serikali? Au wote?

shule_clip.jpg


Source: Shule ya Msingi ‘Niue au usiniue’ - Makala
 
Back
Top Bottom