hili ni tatizo?

hili ni tatizo?

angomwile

Senior Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
153
Reaction score
81
Wana jf nimekuja kwenye hili jukwaa naomba mnisaidie,kuna tatizo limenipata kama wiki hivi,kila ninapotakakuchakachuana na shemeji yenu mwanzo jogoo anawika vizuri ila nikianza tu kunanihi ananywea kabisa sasa sijui tatizo ni nini hapo mwanzo ilikuwa shwari kabisa,msaada wenu tafadhari naumbuka huku!
 
Wana jf nimekuja kwenye hili jukwaa naomba mnisaidie,kuna tatizo limenipata kama wiki hivi,kila ninapotakakuchakachuana na shemeji yenu mwanzo jogoo anawika vizuri ila nikianza tu kunanihi ananywea kabisa sasa sijui tatizo ni nini hapo mwanzo ilikuwa shwari kabisa,msaada wenu tafadhari naumbuka huku!

Masuala ya kimapenzi na tendo la ndoa ni ya kisaikolojia zaidi. Unapokuwa katika tendo unatakiwa mwili, akili na moyo wako wote uvielekeze tendoni. Siyo unawaza deni unalodaiwa na mangi wakati unatakiwa mtarimbo uingie mgodini. Inabidi ujitulize, uamini kuwa uliyenaye ndiye wako mwenyewe na kama ni mkeo wa ndoa basi hilo ni tendo takatifu, limebarikiwa.

if you are moody don't even try it, utaishia kumdisappoint mweza wako. by the way focus on the game utafanikiwa. good luck!
 
siku unapoenda naye kwenye tendo kula kilo moja ya karanga mbichi,mzinga wa konyagi,pweza wa kutosha,halafu ongezea na supershaft,lazima aombe half time
 
Tatizo lako ni unashindwa ku maintain erection. Hiyo ni moja ya sexual (erectile) dysfunctions.

Tatizo hilo huenda likawa ni psychological au physiological. Kwani unakuwa una wasiwasi ukishaingiza uume wako ndani ya uke wake? Kuna harufu kali labda ambayo mwenzako anatoa?
 
na tuliza mzuka ; kula taratibu zako zabibu hizo! try to talk sexy with her on the way
 
Back
Top Bottom