Hili nilishalijua kuhusu Harmonize...

Clouds wanachojua wanakutumia baadae wanakutema Yuko wapi aslay? Sikuizi nimeona hata ngoma za kiba hawapigi.Ila safari hii clouds wameshikwa pabaya na wasafi naona kitendo Cha mondy kuwasajili kitenge na edo kumwembe kimewaharibu kisaikolojia
Inategemeana na msanii mwenyeww,,,,huyo aslay kaangushwa na marioo pale cloudz....so Harmo ni mtu mwingine kabisa kwa hao madogo wote
 
Yaaah business is all......ila kwenye hizo biashara kuna matawi ya matukio mengi kutokea, moja wapo ndo hilo tunalolijadil
Kinachotafutwa hapo ni pesa tu,wewe upate na sisi tupate;ndio biashara ilivyo
 
Huyu na nyimbo zake za kampeni anazoimba siku hz haendi popote.After 2020 atapotea vibaya sana kwenye ramani ya mziki.
 
Its true brother,,,lkn hyo haitakiwi kumfanya abweteke.....aongoze juhudi na maarifa zaidi kwenye kazi zake...

But tukumbuke Harmonise hajatoka pale ili kushindana na diamond.
 
kwa njia hiyo watakua wanazidi kumpandisha SIMBA
sababu mizizi ya harmo imetengenezwa na SIMBA
 
Kila zama na kitabu chake, mkubali tu zama za clouds bongo zimeshapita.. watajaribu sana ila hawatashinda
Sizani hata kama unajua vizuri entertainment industry ya Tanzania kwa sasa,bado clouds wapo juu kwa kila kitu,
Ubunifu,weledi,umakini.
Hata ukiangalia haya matamasha mawili ,wasafi festival na fiesta ,bado fiesta iko juu Sana kwa kila kitu ,wasafi imejengwa kumzungumka diamond tu
 
Ofcoz broo.....umetema facts tu hapo.....

But the problem is, watu pamoja na makampuni mbali mbali ya burudani watelitengeza swala la Harmo kutoka pale WCB liwe kama ni kutaka kushindana na Diamond.

Sio kweli.....wanamkosea sana Harmonise, pia wanamkosea sana Diamond

 
Huyu na nyimbo zake za kampeni anazoimba siku hz haendi popote.After 2020 atapotea vibaya sana kwenye ramani ya mziki.
Hayo mawazo ni kwasababu katoka WCB? Au hajui kuimba na kutoa burudani!!? Au sababu kaimba kumsifu magufuri!!??

Nijibu tafadhar
 
Wachache sana watakuelewa,,,,ni ajabu sana kucompare clouds na wasafi kwa sasa....labda huko mbeleni
 
Yaani hiki kitendo cha clouds kumbrand msanii fulani ili kumshusha mwingine hua kinawaharibia sifa sanaa.

Ujio wa social media umefanya soko kuwa huru sana kila mtu ana nafasi ni jinsi ya kutumia hizi platform vyema tu.. saivi msanii anaweza akapata mileage kubwa kwa kutumia social media pekee kama Instagram, facebook, whatsapp na utube .. tofauti na zamani ilibidi ulambe miguu ya ma DJ ili utoboe kimuziki.!
 
"watu pamoja na makampuni mbali mbali ya burudani watelitengeza swala la Harmo kutoka pale WCB liwe kama ni kutaka kushindana na Diamond."

Mbona walishatengeneza kitu kama hiki kwa Mondi,lkn nazani umeona mpinzani wake hali anayopitia.
 
Kwa harmonize kuna udiamond wooote, kuanzia namna ya muziki baada jinsi ya kucheza na soko la muziki.....ngoja tusubiri
Harmonize na Mondi wanafanana sauti tu.Ukija ktk ubunifu wa nyimbo hizi za kuchezeka Mondi ni mtu mwingine kabisa,kashafanya karibia aina 7 za mziki (Bongo fleva,Zouk,Vanga,Singeli,sebene,afropop,Hip hop,Mduara) na zote alifanikwa kutoa hit.
 
Yaaah walifanya hivi kwa alikiba,,,,,the problem is, jamaa alikua ana contribute effort ndogo sana kwenye kujiweka sawa,,,,mpka mashabiki wanaonekana kumchoka mana wanamkweza jamaa hakwezeki.....anaridhika haraka.

Sasa je, unadhani Harmo na Ali wanafanana karika spirit ya mapambano ya kimuziki!!?
"watu pamoja na makampuni mbali mbali ya burudani watelitengeza swala la Harmo kutoka pale WCB liwe kama ni kutaka kushindana na Diamond."

Mbona walishatengeneza kitu kama hiki kwa Mondi,lkn nazani umeona mpinzani wake hali anayopitia.
 
Kwa mziki wetu Wa bongo baada ya mwaka mmoja usishangae tukamsahau kwenye game labda clouds wambebe japo wale nao wanafanya jambo kwa maslahi
Its true brother,,,lkn hyo haitakiwi kumfanya abweteke.....aongoze juhudi na maarifa zaidi kwenye kazi zake...

But tukumbuke Harmonise hajatoka pale ili kushindana na diamond.
 
True that mkuu....clouds wanashindwa soma alama za nyakati. Zamani walikuwa monopoly kwenye masuala ya burudani now days social media pamoja na brand new radio zimeleta ushindani kwenye industry ya mziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…