Hili nilishalijua kuhusu Harmonize...

Hili nilishalijua kuhusu Harmonize...

Mambo mengine tungeyaacha kama yalivyo. Sisi tufanye kazi. Hao jamaa wala hawana ugomvi na ndio maana Wasafi walipewa Frequency za Coconut ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Clouds. Satelite ya Wasafi TV ni clouds.

Wale wanafanya biashara
 
Hahahaha jamaa goigoi sana sijui huwa linategemea nini kuwa namna ile katika dunia hii ya ushindani
Bahati mbaya sana amekuzidi kwa kila kitu japo kwa ugoigoi wake, ni aibu na ujinga kumchukia mtu aliyekuzidi, cha muhimu tulipe kodi tu
 
Mambo mengine tungeyaacha kama yalivyo. Sisi tufanye kazi. Hao jamaa wala hawana ugomvi na ndio maana Wasafi walipewa Frequency za Coconut ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Clouds. Satelite ya Wasafi TV ni clouds.

Wale wanafanya biashara
Unajua Kusaga ana share ngapi apo wasafi?
 
Kwa kipindi kirefu clouds fm wamekua wakihaha kubrand wasanii wenye vipaji vikali ili kupata mtu ambae ataweza kutake over diamond platnumz..

Mfano hawakina Marioo, na wengine wengi.

So baada ya harmo kutoka WCB basi nilijua hapa clouds wanaenda kuchukua there best shot waliokuwa wakiihangaikia kwa miaka yote.

Sasa naombeni mkae mkao wa kushuhudia promo atakazokua anapigiwa harmonise hamtoamini.

Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond.View attachment 1237273
Harmonize atakuwa mchoyo wa fadhila kama ataungana na Clouds maana bifu la Diamond na Clouds sababu kubwa ni yeye.
 
"Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond. "

Toka Diamond atabiliwe kushuka ni zaidi ya miaka 5,bado yupo.Harmonize ni clone ya Diamond,ila Diamond ana kitu extra ambacho harmonize hana.

Mondi ni completely package ya Entertainer,Master Jay ana kauli yake anasema "ni rahisi kumfundisha mtu kuimba lkn huwezi kumfundisha kuwa entertainer",ndio maana Mondi ana show zaidi ya 90 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo.

Sasa soko lake limehamia ktk nchi zinazoongea kifaransa,kwa kifupi baada ya mwaka huku ukitoa nchi za kiarabu,Mondi ameshapiga show karibia 95% ya nchi zote za africa .Kila mwaka ana achieve kitu kipya .

Mondi ataporomoka Muda na wakati wake ukifika kama wasanii wengine wakongwe ,lkn hamna atakayeweza kumshusha HAYUPO.
Ninakazia
 
"Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond. "

Toka Diamond atabiliwe kushuka ni zaidi ya miaka 5,bado yupo.Harmonize ni clone ya Diamond,ila Diamond ana kitu extra ambacho harmonize hana.

Mondi ni completely package ya Entertainer,Master Jay ana kauli yake anasema "ni rahisi kumfundisha mtu kuimba lkn huwezi kumfundisha kuwa entertainer",ndio maana Mondi ana show zaidi ya 90 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo.

Sasa soko lake limehamia ktk nchi zinazoongea kifaransa,kwa kifupi baada ya mwaka huku ukitoa nchi za kiarabu,Mondi ameshapiga show karibia 95% ya nchi zote za africa .Kila mwaka ana achieve kitu kipya .

Mondi ataporomoka Muda na wakati wake ukifika kama wasanii wengine wakongwe ,lkn hamna atakayeweza kumshusha HAYUPO.
Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?

Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.

Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize

Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo

Takataka
 
Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?

Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.

Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize

Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo

Takataka
Sehemu gani nimejenga chuki ? au umeamua kuropoka.Kwa jinsi ulivyokurupuka labda ww ndiye uliyerogwa

Mziki wa sasa hivi upo wazi kama hujui hujui usitafute visingizio platforms kibao wewe mwenyewe na juhudi zako,ukishindwa umeshindwa ww.

Sehemu gani mtu Kazuiwa kufanya mziki wake?.
 
Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?

Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.

Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize

Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo

Takataka
umekurupuka,tulia usome umuelewe mtoa maelezo
 
Tuwatakie heri tu... Tena waanze fasta...

We just can't wait ..

Ntaxhekaa sana .
 
Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?

Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.

Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize

Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo

Takataka
Tuliza rinda Dogo.....
 
Back
Top Bottom