Bahati mbaya sana amekuzidi kwa kila kitu japo kwa ugoigoi wake, ni aibu na ujinga kumchukia mtu aliyekuzidi, cha muhimu tulipe kodi tuHahahaha jamaa goigoi sana sijui huwa linategemea nini kuwa namna ile katika dunia hii ya ushindani
Huu usajili bab kubwaKwenye usajili hapo dah,nahisi shafii dauda kaumia zaidi.
Unajua Kusaga ana share ngapi apo wasafi?Mambo mengine tungeyaacha kama yalivyo. Sisi tufanye kazi. Hao jamaa wala hawana ugomvi na ndio maana Wasafi walipewa Frequency za Coconut ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Clouds. Satelite ya Wasafi TV ni clouds.
Wale wanafanya biashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walijaribu kumpaisha kiba wameshindwa kwa diamond clouds watapata tabu Sana Mondy ngoma ngumu Kama ukuta wa Berlin.
Harmonize atakuwa mchoyo wa fadhila kama ataungana na Clouds maana bifu la Diamond na Clouds sababu kubwa ni yeye.Kwa kipindi kirefu clouds fm wamekua wakihaha kubrand wasanii wenye vipaji vikali ili kupata mtu ambae ataweza kutake over diamond platnumz..
Mfano hawakina Marioo, na wengine wengi.
So baada ya harmo kutoka WCB basi nilijua hapa clouds wanaenda kuchukua there best shot waliokuwa wakiihangaikia kwa miaka yote.
Sasa naombeni mkae mkao wa kushuhudia promo atakazokua anapigiwa harmonise hamtoamini.
Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond.View attachment 1237273
Ninatabiri anguko kubwa Sana la clouds.
Pia natabiri anguko kubwa zaidi la harmonize.
Comment hii naomba ibaki hapa kwa mwaka m1 tu.
Umenena vyema mkuu, tupunguze roho za 'kichawi' na tuache kuombeana mabaya.Humu comment za watu wakitaka huyu msanii a fail zitakuwa kwa wingi ..kikubwa tuu tumtakie heri maana hakianguka au kufanikiwa sisi haiongezi pesa mifukoni kwetu.
kiba kamzidi huyo dogo kwa fanbase lakini na promo zote wamesandaKuna mchezo unachezwa hapa clouds wanajua wanachokifanya na harmonize anaenda kuifanya kazi aliyotunwa.
Mzee wa yeebabaMashabiki zake wenyew wamechoka, jamaa habebeki
Ninakazia"Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond. "
Toka Diamond atabiliwe kushuka ni zaidi ya miaka 5,bado yupo.Harmonize ni clone ya Diamond,ila Diamond ana kitu extra ambacho harmonize hana.
Mondi ni completely package ya Entertainer,Master Jay ana kauli yake anasema "ni rahisi kumfundisha mtu kuimba lkn huwezi kumfundisha kuwa entertainer",ndio maana Mondi ana show zaidi ya 90 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo.
Sasa soko lake limehamia ktk nchi zinazoongea kifaransa,kwa kifupi baada ya mwaka huku ukitoa nchi za kiarabu,Mondi ameshapiga show karibia 95% ya nchi zote za africa .Kila mwaka ana achieve kitu kipya .
Mondi ataporomoka Muda na wakati wake ukifika kama wasanii wengine wakongwe ,lkn hamna atakayeweza kumshusha HAYUPO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanga tu wale
Uwezo wa harmonize ni mdogo zaidi.Naona sasa clouds wamepata msanii halisi wa kumpigia promo na watatoboa,nilikuwa siwaelewi kabisa wanapojaribu kumfanya aslay au marioo kuwa staa kwa nguvu wakati uwezo wao mdogo.
Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?"Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond. "
Toka Diamond atabiliwe kushuka ni zaidi ya miaka 5,bado yupo.Harmonize ni clone ya Diamond,ila Diamond ana kitu extra ambacho harmonize hana.
Mondi ni completely package ya Entertainer,Master Jay ana kauli yake anasema "ni rahisi kumfundisha mtu kuimba lkn huwezi kumfundisha kuwa entertainer",ndio maana Mondi ana show zaidi ya 90 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo.
Sasa soko lake limehamia ktk nchi zinazoongea kifaransa,kwa kifupi baada ya mwaka huku ukitoa nchi za kiarabu,Mondi ameshapiga show karibia 95% ya nchi zote za africa .Kila mwaka ana achieve kitu kipya .
Mondi ataporomoka Muda na wakati wake ukifika kama wasanii wengine wakongwe ,lkn hamna atakayeweza kumshusha HAYUPO.
Umenena vyema mkuu, tupunguze roho za 'kichawi' na tuache kuombeana mabaya.
Sehemu gani nimejenga chuki ? au umeamua kuropoka.Kwa jinsi ulivyokurupuka labda ww ndiye uliyerogwaMashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?
Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.
Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize
Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo
Takataka
umekurupuka,tulia usome umuelewe mtoa maelezoMashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?
Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.
Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize
Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo
Takataka
Tuliza rinda Dogo.....Mashabiki wa Diamond sijui mmerogwaaaaaaaaa ?
Kila msanii anaejaribu kuweka juhudi kubwa , mkiona anatishia ufalme wa mtu wenu mnamjengea chuki kaliiiiii na vijimaneneo maneno vya kiswahili haviwaishi, kila siku kumponda mpaka mhakikishe kashuka.
Mlianza na Alikiba
Mkaja Aslay
Then Darassa
SASA Harmonize
Yaani mtu asifanye muziki wake utafikiri mmiliki wa Muziki bongo ni huyo Domo
Takataka