MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,760
Habarini wadau hususani wale wenye ndoa zao mjini apa,
Ni takribani miezi miwili hivi kumekua na hali ya fukuto, harara na joto jingi sana
Hali hii imesababisha wenzangu na mimi wanaoishi kwenye chumba kimoja (stoo) chenye mlundikano wa vitu kama kitanda, jiko la gesi, pea za viatu, vyombo vya kupikia, ndoo za maji, kitenga cha kuwekea nguo chafu, panga kwa ajili ya security, kizoleo cha taka, jalo n.k kuishi kwa shida
Kubwa hapa ni kutokufanyika kabisa kwa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa wanaoishi mazingira haya
Tafiti mbali mbali duniani zinaonyesha kwamba tendo hili la burudani hufanyika kwenye kiwango fulani cha joto na linapozidi hali ya kuhitajiana hupungua
Sambamba na hivyo, vitendo vya uzinzi na ngono zembe pia vinakadiriwa kupungua hasa nyakati za mchana kwenye nyumba za kulala wageni na magetoni kwa kua watu husweti balaa......
Natoa wito kwa wadau wote wa tendo hili hususan wanandoa wavute subra kwani kipindi hiki ni kifupi na kinapita tu kama kilivyotabiriwa na mamlaka ya haliya hewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni takribani miezi miwili hivi kumekua na hali ya fukuto, harara na joto jingi sana
Hali hii imesababisha wenzangu na mimi wanaoishi kwenye chumba kimoja (stoo) chenye mlundikano wa vitu kama kitanda, jiko la gesi, pea za viatu, vyombo vya kupikia, ndoo za maji, kitenga cha kuwekea nguo chafu, panga kwa ajili ya security, kizoleo cha taka, jalo n.k kuishi kwa shida
Kubwa hapa ni kutokufanyika kabisa kwa tendo la ndoa hasa kwa wanandoa wanaoishi mazingira haya
Tafiti mbali mbali duniani zinaonyesha kwamba tendo hili la burudani hufanyika kwenye kiwango fulani cha joto na linapozidi hali ya kuhitajiana hupungua
Sambamba na hivyo, vitendo vya uzinzi na ngono zembe pia vinakadiriwa kupungua hasa nyakati za mchana kwenye nyumba za kulala wageni na magetoni kwa kua watu husweti balaa......
Natoa wito kwa wadau wote wa tendo hili hususan wanandoa wavute subra kwani kipindi hiki ni kifupi na kinapita tu kama kilivyotabiriwa na mamlaka ya haliya hewa
Sent using Jamii Forums mobile app