Hili promo la crazy gk Clouds FM mbona silielewi?

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
1,714
Reaction score
448
Mimi ni msikilizaji mzuri tu wa Redio pendwa Clouds Fm,ila nimeshangazwa sana na hili Promo analopigiwa GK na Redio hii kwenye ujio wake mpya mbona sio la kawaida,au ndo maandalizi ya kutumika Fiesta?Mbona kama wimbo wa kawaida sana au masikio yangu yana bifu na huo wimbo?



 
wanazaa,wanalea,wanaua wanafufua.
wakikufufua andaa kubeba ngada.
 
Hahahaha , eti the return of music Messiah!
 
watakuwa na interests zao,those people never do anything for free.
 
ni kama vile jamaa katoa mkwanja mrefu, ila nyimbo ya kawaida saana,
 
nyimbo iko poa, xema mnachuk zenu, msiishi kwa mazoea alafu pia kupigiwa promo sio dhambi, wanawivu mpaka wa mevuka ukomo refer verse ya nick wa 2@ bei ya mkaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…