Hili shirika la Reli linaongozwa na watu wenye vituko sana

Hili shirika la Reli linaongozwa na watu wenye vituko sana

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Niliskia safari zinaanza tarehe 14 basi nikamtaarifu mke wangu na watoto tunakata tiketi tarehe 14 familia nzima twende Dodoma kwa Treni Yao ya SGR ili jumatatu tule Eid Dodoma

Kituko Leo mkurugenzi kageuza Gia angani kuwa bado wanafanya majaribio hivyo safari itaishia Morogoro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi hili shirika kwa mwendo huu litairudisha hiyo HeLa kweli kwa huu mwendo wa kinyonga?

Dude kama lile La umeme kulipigisha ruti za Moro ni vituko sana mlitakiwa mfike Hadi Dodoma kama ni Moro watu washuke wapande wengine

Pia soma: Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR na Viongozi wa Dini kutoka Dar es Salaam - Dodoma kwenye Dua na Maombi ya Kitaifa
 
Hata zile bei ni siasa tu,huwezi weka nauli DSM to Dom 31K huku unafika DSM after 4 hours hapo hapo basi tu ni 30-35K.
Si utaua biashara ya mabasi yote ya DSM to DoM
Hakuna mwendokasi pale mkuu!
Masaa mawili morogoro si bora upande Abood
Wale watafeli vibaya sana
Usanii tu...
Kuna watu walichukulia sirious lile tangazo? duh
Punguzeni makasiriko.
 
Bei to Dom 31k ni uongo,wanataka kuia mapemaa. Huwezi fika masaa manne kabla ya basi na ukalipa bei sawa na bus. Bora waweke bei standard itakayodumu kwa mda. Nina uhakika wakiweka bei 31k haitopita miezi kadhaa wakaongeza bei.
 
Abood Dar Moro ni masaa 4 hadi 5.

Bora upande treni.
Hayo masaa manne ni pamoja a foleni.
Lakini treni haina foleni na inatumia zaidi ya masaa mawili, sasa hapo kuna mwendokasi?
 
Tz ni fast growing country in Africa especially in population wakati huo huo serikali inachukulia poa ukuaji wetu in population na kiuchumi,hii treni baada ya miaka miwili itakua nguzo muhimu kwenye uchumu wetu kwa njia ya kati kwenye usafirishaji.
 
Hakuna mwendokasi pale mkuu!
Masaa mawili morogoro si bora upande Abood
Aaah wee!Abood mpaka Morogoro inatumia masaa 5 mpaka 6.
Basi haiwezi tumia masaa mawili toka Dar mpaka Moro.
 
Hayo masaa manne ni pamoja a foleni.
Lakini treni haina foleni na inatumia zaidi ya masaa mawili, sasa hapo kuna mwendokasi?
Dar to Moro kwa treni ni masaa mawili kasoro.
Dar to Dom masaa manne.
Hayo ndio mahesabu.
Hapo zimepigiwa na mahesabu ya kusimama vituo vikuu na vidogo.
 
Back
Top Bottom