TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Kwahiyo ulitaka Aue ya treni?Hata zile bei ni siasa tu,huwezi weka nauli DSM to Dom 31K huku unafika DSM after 4 hours hapo hapo basi tu ni 30-35K.
Si utaua biashara ya mabasi yote ya DSM to DoM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ulitaka Aue ya treni?Hata zile bei ni siasa tu,huwezi weka nauli DSM to Dom 31K huku unafika DSM after 4 hours hapo hapo basi tu ni 30-35K.
Si utaua biashara ya mabasi yote ya DSM to DoM
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Inashangaza. Dar moro hata uwe na gari ya aina gani minimum ni masaa 3 na nusu na maximum ni masaa 5 unless uwe na msafara ving'ora kama vyote barabara yote imesafishwa.Kuna mtu hajawahi hata kutumia gari Dar Moro nae anachangia eti 2hrs kwa treni Dar Moro no afadhali bus. Watu tunaenda na private car 4-5hrs na risk kibao.
Hii nauli hata Dar Moro iwe 25,000/- tunaojali muda na usalama tutapanda.
Point Yako ni ipi? Kwamba unataka nauli ya SGR iwe kubwa kuliko ya mabasi ili raia waache kupanda SGR wapande mabasi.?Hata zile bei ni siasa tu,huwezi weka nauli DSM to Dom 31K huku unafika DSM after 4 hours hapo hapo basi tu ni 30-35K.
Si utaua biashara ya mabasi yote ya DSM to DoM
Mwendokasi hawajashindwa kuiendesha na wala haileti hasara.Kama wameshindwa mwendokasi wataweza ilo?
KAZI ni kipimo cha UTU
Ingia blog yao TRC .Napataje tiketi za SGR?