Hili soko la kimataifa EALCC linalojengea Ubungo stendi ya mkoa ya zamani naona kama litakuwa kama mlimani city tuu

Hili soko la kimataifa EALCC linalojengea Ubungo stendi ya mkoa ya zamani naona kama litakuwa kama mlimani city tuu

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale

Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.

Mi naona bora serikali ingetafuta kitu kingine cha kufanyanyia pale au wangerudisha stendi kama ilivyokua mwanzoni.

Soma Pia: Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
 
Serikali ilikosea kupokea rushwa na kukubali ujenzi wa hilo soko. Kujengwa kwa hilo soko maana yake kama nchi tumekubali kuwa dampo la bidhaa za China, hivyo uzalishaji haupo kwetu.
Na hilo soko kodi nasikia hakuna
 
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale

Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.

Mi naona bora serikali ingetafuta kitu kingine cha kufanyanyia pale au wangerudisha stendi kama ilivyokua mwanzoni.

Soma Pia: Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Dampo la bidhaa mfu
 
Serikali ilikosea kupokea rushwa na kukubali ujenzi wa hilo soko. Kujengwa kwa hilo soko maana yake kama nchi tumekubali kuwa dampo la bidhaa za China, hivyo uzalishaji haupo kwetu.
Na hilo soko kodi nasikia hakuna
Unadhani bidhaa za china zinaingizwa nchini kisa hilo soko, ? Saizi halipo ila kkoo zimejaa bidhaa za nani?
 
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale

Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.

Mi naona bora serikali ingetafuta kitu kingine cha kufanyanyia pale au wangerudisha stendi kama ilivyokua mwanzoni.

Soma Pia: Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Lengo ni kuwapunguzia watanzania safari ya kwenda China
 
Naona mmekaa mnajipa moyo ila hamtokuja kuamini mchina atakachowafanyia ...time will tell.
 
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale

Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.

Mi naona bora serikali ingetafuta kitu kingine cha kufanyanyia pale au wangerudisha stendi kama ilivyokua mwanzoni.

Soma Pia: Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Ni soko la Kawaida sana hilo, sijaona kipya hapo.
 
Naona mmekaa mnajipa moyo ila hamtokuja kuamini mchina atakachowafanyia ...time will tell.
Na wote watakimbilia kwa mchina. Kwa nchi nyingine wanaita CHINA TOWN STORE.
 
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale

Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.

Mi naona bora serikali ingetafuta kitu kingine cha kufanyanyia pale au wangerudisha stendi kama ilivyokua mwanzoni.

Soma Pia: Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC

Tupe picha.
 
Back
Top Bottom