Hili suala la dola kupaa litafutiwe ufumbuzi wa dharura

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwa tunaofanya malipo kwa dola ya Marekani hali imekuwa tete sana. Hata bajeti huwezi kupanga maana hujui kesho itakuwa Tsh ngapi. Tufanye kitu ikae sawa. Wenzetu Kenya waliwezaje kuokoa pesa yao iliyokuwa kwenye free fall?
 
Si mtumie hela zenu wenyewe.

Watu mnayo sarafu yenu nyie wenyewe. Inaitwa ‘shilingi’.

Mnahangaika na sarafu za nchi ingine, kwa nini?

Au ndo kukiri kuwa Marekani ndo baba lao?
Kuwa serious, nani atapokea Tsh huko duniani?
 
Kuna kipindi ilikuwa Tsh5000 kwa Usd $1, bado hapa
 
Simu ya dollar 700 inatakiwa ulipie karibu million 2,haha yaani usd 700 tu leo milion mbili???
 
Simu zenu mnatoa china, tanzania na china walikubaliana kutumia sarafu zao, tafuta yuan ya china
"Simu zenu" unazijua Simu zetu mzee au ndio utani hadi kwenye mambo serious...mada ni thamani ya shilling dhidi ya dollar...
 
"Simu zenu" unazijua Simu zetu mzee au ndio utani hadi kwenye mambo serious...mada ni thamani ya shilling dhidi ya dollar...
Kwamba hukutaja simu na bei yake!!?..na simu unazotumia huagiza ulaya na USA!?..acha upimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…