captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Hii unabadilisha kabla ya call for interview wakishatoa majina uwezi badil tenaSawa, ngoja tuone japokuwa tayari watu wa afya wameanza kulalamikia hy ishu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii unabadilisha kabla ya call for interview wakishatoa majina uwezi badil tenaSawa, ngoja tuone japokuwa tayari watu wa afya wameanza kulalamikia hy ishu.
Ukifika muda wa interview ndugu lazima uchague somo moja la kwenda kufanyia usaili. Huwezi kua ttend masomo yoteInterview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
Ukikuta sahili zimepishana kwenye hayo masomo yako inawezekana mkuu ila kama yamegongana Mda mmoja hapo ni changamotoUkifika muda wa interview ndugu lazima uchague somo moja la kwenda kufanyia usaili. Huwezi kua ttend masomo yote
Saiv naona kuna mabadiliko mkuu nimeona tangazo wametoa uko usaili wa kuandika unafanyika mikoa uliopo ila sasa usaili wa mahojiano unafanyika mkoa uliombaHii kitu nilibishana sana na ndugu yangu Mwifwa
Hv kuna utofauti gani kati ya mkoa uliopo na mkoa ulioomba mana wakati wa kuomba ajira muajiri alikuwa MDA'S na LGA'S na sio mikoa.Saiv naona kuna mabadiliko mkuu nimeona tangazo wametoa uko usaili wa kuandika unafanyika mikoa uliopo ila sasa usaili wa mahojiano unafanyika mkoa uliomba
Kwani Kila somo litakuwa na mtihani wake??, maana wengine wanasema pepa ni mojaUkikuta sahili zimepishana kwenye hayo masomo yako inawezekana mkuu ila kama yamegongana Mda mmoja hapo ni changamoto
Ila nyie watu mnauliza maswali ya kijinga sana aisee, sasa pepa litakuwa moja kivipi wakati kila mtu ana level yake ya elimu na somo lake tofauti na wengine?Kwani Kila somo litakuwa na mtihani wake??, maana wengine wanasema pepa ni moja