Hili Suala la siasa michezoni lingekemewa vikali.

Hili Suala la siasa michezoni lingekemewa vikali.

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Hii habari ya kuleta mapicha ya Rais na mwenyekiti wa CCM uwanjani ni mchezo mbaya sana. Mpira ni mpira na siasa ni siasa. Msiwagawe wa Tz kwa kitu pekee kilichobaki kuwaunganisha. Kesho mtu akija na picha za Ahsante Mbowe au Ahsante Zitto mtaanza kuwarushia mabomu. Acheni hizo mambo.

TUTAMUULIA HUKOHUKO KWAO. MWEPESI SANA.
 
Samia ndio mtawala mkuu.

Usishindane na aliyeshika Dola utaumia.

ACHA watambe na Samia watachoka wataacha.

Kila Lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
 
Samia ndio mtawala mkuu.

Usishindane na aliyeshika Dola utaumia.

ACHA watambe na Samia watachoka wataacha.

Kila Lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
Hizi ni mechi za CAF, wangekemea wenyewe siasa michezoni. Maana CAF na FIFA wanapiga marufuku haya mambo.
 
Samia ndio mtawala mkuu.

Usishindane na aliyeshika Dola utaumia.

ACHA watambe na Samia watachoka wataacha.

Kila Lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
Bora hata tumepigwa Tu japo naipenda sana Yanga lakini Mimi sipendi mambo ya siasa kwenye mpira maana hata tukichukua kombe atakayesifiwa ni mwanasiasa bila kujua wachezaji wamepitia mangapi....
Vyovyote iwavyo mambo ya siasa ni ya kukemea ubaki Tu utani wa Simba na Yanga
 
Back
Top Bottom