Hili suala la Simba kucheza na wanakwaya badala ya timu ya mpira ni sawa?

Status
Not open for further replies.
Tumechoshwa na "kamata chini, kamatia chini" sasa tunataka Gospel mtani. Karibu uburudike.
 
Msamehe Bure tuna kizazi Cha vijana wa ovyo NCHI hii na wengi wao ni mashabiki wa Kidimbwi FC imagine Leo hajui historia ya Timu kama ST.GEORGE Ndo maana waliingia kichwa kichwa Kwa Vipers wakaliwa kichwa.
 
Reactions: Tui
Ameizidi makombe mangapi? Yanga yupo kimataifa huyo namungo yuko wapi?
Viwango vya Ubora vya CAF vinaonesha Namungo ni Klabu ya 60 kwa ubora Afrika na Yanga ni ya 74.

Yaani kwa sasa baada ya miaka yote ya Uwepo wa CAF.
 
Reactions: Tui
Hii timu kama wakicheza na uto...lazima ale 4 mtungi.
 
Viwango vya Ubora vya CAF vinaonesha Namungo ni Klabu ya 60 kwa ubora Afrika na Yanga ni ya 74.

Yaani kwa sasa baada ya miaka yote ya Uwepo wa CAF.
Huo ubora wa namungo unamsaidia nini namungo kwenye soka kama kucheza michuano ya caf ni lazima ushike nafasi nne za juu? Za kuambiwa changanya na za kwako, Leo hii Yanga na Simba wote wanaanzia hatua ya awali wakati Barbra alikuwa anawadanganya Simba timu kuubwa itaanzia hatua ya kwanza na nyie mkajaa, ubora wa timu ni vikombe sio orodha ya caf, hivi kweli wewe kwa akili yako Sasa binafsi bila kushikiwa na caf unaamini Namungo ni Bora kuliko mabingwa wa nchi Yanga?
 
🤣🤣naona zimetembea za uso huko juu....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…