BlackBox
Senior Member
- Nov 26, 2016
- 109
- 78
Daaah nilikua bush mda kidogo sasa ni kama mwezi natembea town juzi kati naingia bank flani nakutana na mabinti wakutosha hizo nguo fupi ndio habari yenyewe, nimekaa siti za mbele kidogo yupo binti amevaa kakimini kake na ndio hivyo tena mungu kamjaalia nabaki kuona nusu ikulu, baasi tena ndo nikaishia hivyohivyo.