ushakua bibi wewe ndio maana hutaki kuvaa viminiUzungu babu weeee wasipo vaa vimini utawaonaje kua ni wamjini .......heri yangu mie nanjilinji huku najivalia madera safi tu .....hizo kero za kutembea na kukaa kwa karaha siziwezi kwa kweli
Sawaushakua bibi wewe ndio maana hutaki kuvaa vimini
Na ya nini kujipa tabu.. Kukosa amani ya mwili kisa fashion..hapana kwakweli..heri nivae dela nitembee kwa kujiachia kwa raha zangu yani hata mtaro nauruka tena kwa mbwembwe zote
Mwisho wa siku maisha ni kuchagua
Mashallah chura IPO thanks God kwa hiloUvae Dela una CHURA? Kama huna haina tofauti na kanzu tu
Ushawahi kuvaa nguo fupi?Na ya nini kujipa tabu.. Kukosa amani ya mwili kisa fashion..hapana kwakweli..heri nivae dela nitembee kwa kujiachia kwa raha zangu yani hata mtaro nauruka tena kwa mbwembwe zote
Mwisho wa siku maisha ni kuchagua
NimewahiUshawahi kuvaa nguo fupi?
Pongez nadhan hatarudia upuziKuna mmoja, nmetoka kumtukana FB sasa hivi .
Amevaa ovyoo. Alafu makalio ndo kayapiga picha, ,maneno aloweka upuuuzi pia.
Nmescroll nikaachana nayo, ila roho ikasema hapana , Sema neno ... Kwenda kusa koment , wanaume wamemsifiiiiiaaa ,nikaamua kumtukana ,nmemtukana kwa upuuzi wake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe unataka kuona mguu wangu wa bia[emoji3]
kwahiyo wanaovaa hivyo ni wakristo tu?Ndo maan nawapendag waislamu.