Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Toka 2014 mpaka leo[emoji848], je bado wako hai?Naomba kuuliza!!nina marafiki zangu wawili!! Miaka iliyopita walienda kupima ukimwi kwenye haya magari yanayopita mitaani!!! Mmoja baada ya kupimwa alipewa condom bila kuomba?! Huyu mwengine Alipima ila aliomba condom hakupewa kabisaa?!!je hii imekaaje??na wote walikataa kupewa majibu!!??enzi za jakaya kikwete 2014
Wako haii!!.na ujana ule ulee wanaendeleza aiseeToka 2014 mpaka leo[emoji848], je bado wako hai?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kipindi kilee walikua wanasema tunapima!!majibu sio lazima?!.wonyewe nazani walikua wanataka idadi ya waginjwa na sio wagonjwaWalikosea kama walifanya hivyooo...!!
Hawakufanya vema kabisa, wangetakiwa wawape watu majibu yao maana kama mtu anao na hajijui means wanamwacha aendelee kuambukiza wengine. Ila mtu akijua status yake inakua vizuri ataanza dozi mapema na hao wazima watachukua tahadhari ili wajilinde vizuri zaidi.Kipindi kilee walikua wanasema tunapima!!majibu sio lazima?!.wonyewe nazani walikua wanataka idadi ya waginjwa na sio wagonjwa
Kila sikuu wanabadilisha wanawake Aisee!!mbaya zaidi hawatumii kinga yoyote..Tuombe Mungu ao rafiki zako wawe ni domo zege la sivyo .kuna watu watakua wamesha umia
SUBIRI KIDOGO
Sahizi wotee wana miaka 31 ila wamepishana miezi.Kuna suala la umri, kuoa na kutooa, kuwa na wapenzi wengi n.k
Suala la kupewa na kutopewa Condom linategemea na maelezo yakoje.
Unaweza kumpima mtoto ( under 17 ) UKIMWI ila huwezi kumpa Condom.
Haha eti both to score!!!ila uyu aliepewa kama simuamini amini vilee..maana yeye na UTI..UTI na yeyeeHuyo aliepewa kinga maana yake alikuwa mzima hivyo aendelee kujilinda, ambae hakupewa ndio bhas tena.. au ambae alipewa kinga maana yake anao so atumie kinga ili asiendelee kusambaza, ambae hakupewa ndio mzima.. Yani kwa hii scenario ni both team to score..
Walivurugwa kisaikolojia ili wajiulize maswali kama haya na waamue kurudi kupima upya na kujua status zao. Ila ndio hivyo tena wanaendelea kuusambaza tu. Hakika gonjwa hili limekaa sehemu mbaya sana.
Haha eti both to score!!!ila uyu aliepewa kama simuamini amini vilee..maana yeye na UTI..UTI na yeyee
Nshapima hadi nimechoka..Ila wewe unajiamini sio...
Issue sio kupima tu na kuchukua majibu,bali ni kujilinda na hili gonjwa hatari,kama unapima mpaka umeshachoka ina maana unatambua kua mwenendo wako wa kimaisha ni wa hatari na si wakimaadili ya kidini au kijamii.Nshapima hadi nimechoka..
Naelewaa rafiki yanguIssue sio kupima tu na kuchukua majibu,bali ni kujilinda na hili gonjwa hatari,kama unapima mpaka umeshachoka ina maana unatambua kua mwenendo wako wa kimaisha ni wa hatari na si wakimaadili ya kidini au kijamii.
Tulizana, usiishi kwa hofu. Halafu hatari ukishaijua utaiepuka, hivyo haina haja ya kupima pima hivyo hadi unachoka. Ukishajua status baada ya kupima ni kutulizana tu. Vyvyote majibu yatakavyokuwa ni kutulizana tu mkuu.Nshapima hadi nimechoka..
Haha yani kuishi kwa hofu ndio tatizo langu aisee!!!nikienda hosptal nikafanyiwa vipimo then waniambumie siumwii..hauwa nakuaga na hofu.sana hadi kupelekea kupima ilo gonjwa!!Tulizana, usiishi kwa hofu. Halafu hatari ukishaijua utaiepuka, hivyo haina haja ya kupima pima hivyo hadi unachoka. Ukishajua status baada ya kupima ni kutulizana tu. Vyvyote majibu yatakavyokuwa ni kutulizana tu mkuu.
Unaishi kwa hofu kwa sababu unayajua matendo yako na nyendo zako. Ndio maana nimekwambia tulizana mkuu.Haha yani kuishi kwa hofu ndio tatizo langu aisee!!!nikienda hosptal nikafanyiwa vipimo then waniambumie siumwii..hauwa nakuaga na hofu.sana hadi kupelekea kupima ilo gonjwa!!
Haha..na kweli rafiki yanguUnaishi kwa hofu kwa sababu unayajua matendo yako na nyendo zako. Ndio maana nimekwambia tulizana mkuu.