Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Naomba kuuliza!!nina marafiki zangu wawili!! Miaka iliyopita walienda kupima ukimwi kwenye haya magari yanayopita mitaani!!! Mmoja baada ya kupimwa alipewa condom bila kuomba?! Huyu mwengine Alipima ila aliomba condom hakupewa kabisaa?!!je hii imekaaje??na wote walikataa kupewa majibu!!??enzi za jakaya kikwete 2014