Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,189
- 6,450
Nina kagari ambako naomba nifahamishwe kama kuna dealers wake hapa TZ. Ni Jeep ya mwaka 2019 nataka kuifanyia service
Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo wawe na degree.
Haya magari ya ulaya na marekani hayataki kabisa ubabaifu.nami sitaki kuonekana naringa.maana kuna siku nlimwambia fundi mmoja kituo cha mafuta aongeze upepo alisumbuka sana dk 40 kujaza tu upepo.nlipomaliza nikamlipa 25,000 yake nikaondoka
Toka siku hiyo nikasema nitakuwa naenda kwa dealers tu hata kujaza upepo. Sasa kwa hapa TZ dealers wa JEEP wanapatikana wapi ndugu zanguni? Au ndo nipark tu gari?
Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo wawe na degree.
Haya magari ya ulaya na marekani hayataki kabisa ubabaifu.nami sitaki kuonekana naringa.maana kuna siku nlimwambia fundi mmoja kituo cha mafuta aongeze upepo alisumbuka sana dk 40 kujaza tu upepo.nlipomaliza nikamlipa 25,000 yake nikaondoka
Toka siku hiyo nikasema nitakuwa naenda kwa dealers tu hata kujaza upepo. Sasa kwa hapa TZ dealers wa JEEP wanapatikana wapi ndugu zanguni? Au ndo nipark tu gari?