Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
mwambie una uwezo wa kumpikia roast kwa kutumia nyanya zilizooza na akajiramba. hiyo ndiyo degree yako ambayo haipatikani chuo chochote kile zaidi ya kwa mama lishe.Sina vyeti mkuu...Nimemaliza darasa la saba mwaka 1986! Baada ya hapo nikaajiriwa kwa mama lishe hadi leo!...
Nna diploma ya mambo hayo mkuu...salary sh ngapiUna elimu ya mambo ya Cleaness and Environment Keeping ? At least basi uwe na Diploma.
Nashukuru ndugu yangu nlianza kukata tamaa. Nirushie website ya hiyo garage huko buzza. Ukitoka Oysterbay ni upande upi?
Atakwambia yaani upepo jero sasa huyo mjaza upepo si atakufa njaaThe boss Kiduku kujaza upepo ni jero huku kwetu Sikonge , Wewe umejaziwa elfu 25 mjini DSM wamekuibia.
wazo zuri.Kiduku nakuomba ukakodi drimlaina yetu ili uwe unapigia misele huko angani maana limekaa tu lisije likaoza
Mimi shabiki yake sana huyu boss Kiduku.Sema kapotea sana,atakuwa ameenda ongeza Range Rover nyingineHuwa naburudika sana kusoma thread za huyu jamaa