Hili swala linanitatiza! michango yenu ya mawazo jamani!

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
TANZANIA KUNA WAJINGA WENGI SANA!!SASA KWA NINI SIKUKUU YA WAJINGA YA TAREHE 1 MWEZI 4 MWAKA 2023 IMEKOSA SHAMRASHAMRA? JE IMECHANGIWA NA SIKUUU HII KUANGUKIA MWEZI AMBAO WATU WA DINI ZOTE WAMEFUNGA?AU KUTOKANA NA KUKITHIRI KWA UJINGA KUMEFANYA WASAHAU KUSHEREKEA SIKU HII MUHIMU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…