Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Naomba nishee nanyi kuhusu hili wakuu.
Leo nilipata nafasi na kukutana na mshkaji wangu sana tuliesoma pamoja elimu ya shule ya msingi kitambo hicho.
Tukasalimiana pale kwa kuwa ni muda sana hatujaonana tangu tumalize.
Ofcoarse, kwa mshkaji ambae hamjaonana muda mrefu kuna mabadiliko ambayo kila mmoja anayaona kwa mwenzie.
Hilo likampelekea kuja kwenye swali, ama sijui niite statement ambayo mara nyingi nikiulizwa nashindwa nitoe jibu la aina gani. Nabaki nashangaa na kuchekacheka nisijue la kujibu.
Eti ananiambia:
" Kaka naona umekonda sana.. hhm! 😊 sema kitambo mzee.."
Em tushirikiane wanajamvi, viumbe wa namna hii tunawajibu vipi?!
Leo nilipata nafasi na kukutana na mshkaji wangu sana tuliesoma pamoja elimu ya shule ya msingi kitambo hicho.
Tukasalimiana pale kwa kuwa ni muda sana hatujaonana tangu tumalize.
Ofcoarse, kwa mshkaji ambae hamjaonana muda mrefu kuna mabadiliko ambayo kila mmoja anayaona kwa mwenzie.
Hilo likampelekea kuja kwenye swali, ama sijui niite statement ambayo mara nyingi nikiulizwa nashindwa nitoe jibu la aina gani. Nabaki nashangaa na kuchekacheka nisijue la kujibu.
Eti ananiambia:
" Kaka naona umekonda sana.. hhm! 😊 sema kitambo mzee.."
Em tushirikiane wanajamvi, viumbe wa namna hii tunawajibu vipi?!