GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Je, ni Mfumo gani Bora na unaleta Maendeleo ya haraka kwa nchi kama Rais akiwa Mahiri lakini anaongozwa na Nguvu ya Kikabila, anazungukwa na Wataalam Wabobezi wengi na ni Dikteta Mbunifu na ule ambao Rais anakuwa Dhaifu Kiasili, ila anaongozwa na Mafisadi, Mafia ( hasa Wauwaji wa Wapinga Interests zao ), Wadhulumati na Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya na Wabobezi wa Magendo?
Nitawashukuru Werevu wa JF mkilijibu.
Nitawashukuru Werevu wa JF mkilijibu.