Hili tabasamu kumtoa nyoka pangoni..........................

Hili tabasamu kumtoa nyoka pangoni..........................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
picgal090111_07.jpg


Sina usemi hapo...............................
 
Mdada akikwambia anakupenda na kukenulia meno kiasi hicho ujue umenaswa hakuna kupumua hapo.............................hakuna kiswahili.............................................subiri kunasuliwa mtegoni............................
 
inaelekea ana body ya kimodo pia....dah watoto wa kisudan wamejaliwa body sana.....kina Alek Wek......ila tukija kwenye kinyago....mmmmh
 
inaelekea ana body ya kimodo pia....dah watoto wa kisudan wamejaliwa body sana.....kina Alek Wek......ila tukija kwenye kinyago....mmmmh

Heeh.. nielimishe Preta, kinyago ndo nn. Nashindwa ku-cope na kasi za semi za kiswahili
 
Dental formula yake haijakaa vizuri.............!!
 
Mwanariadha wa nchi fulani....tabasam la medani halinipi shida.



MVUTO WA KUKU UKIMTOA MANYOYA.
 
Kumbe mnapenda matabasamu eeh!
Nitaongeza bidii.
 
inaelekea ana body ya kimodo pia....dah watoto wa kisudan wamejaliwa body sana.....kina Alek Wek......ila tukija kwenye kinyago....mmmmh
Asee, kama wewe vile isipokuwa nyago.......duh!!
kiwiliwili sawia, nyago no...tabasamu mmmh!!!
 
huyo dada anaonekana anamiswaki mingi kwao meno meupeeeeeetehe
 
Back
Top Bottom