Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
At least watakumbukwa kweny fiesta za clouds pia. Mondi ameset benchmark, na wao waige
Wasanii wengi waliperfom leo wataperform Fiesta pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii wengi waliperfom leo wataperform Fiesta pia
Kwahyo akiwa n.a. viewers wengi ndo nin watu wengi wamenunua ticket kwasab ya BRAND lakini kiukwel kilicho fanyika sijaona yan bado wanahitaj experience zaid yan bado sijaona balaa zito jana halikuepo
Wasafi wamejaza uwanjan kwasabu tu ya ule ukubwa wa BRAND ila tukiweka ushabiki pemben tusimame kweny ukwel kabisaa wasafi bado sana kweny matamasha
Wasanii wazamani(kizazi cha dhahabu) wamenifikirisha sana mkuu yn ngoma zao bd zpo moyoni kwa watu nawatu wanazipenda sana sasa nashindwa kuelewa hawa jamaa walikwama wapi mana wengiwao wamepotea kabisa nakwasasaiv kila wanavyojaribu kuzaliwa upya ngoma inakataa sasa najiuliza nikwamba uwezo wao wakutunga manyimbo makali umepotea ama vp mana kama nisaport sisi tunachohitaji ninyimbo nzr tu hatuangalii inaujumbe gani, nyimbo yko itapenya tu
Mkuu m 500 hela ya chai kwako!congrats mkuuHio hela ya chai mil 500 kwani walipoingia si walisain mkataba..au walilazimishwa kusain mkataba
Sema kibo yako WCB4LIFE SHENZIFiesta ni kiboko yao!
Kimetoka kwenu nanjilinji shenz typeAcha ushabiki mandazi, hicho kiingilio cha M1 kimetoka wapi???
Si ndiyo maana tunashauri waliite Diamond Festival kuliko Wasafi Festival, Tamasha liwe wasafi halafu msanii mmoja masaa 3 mwingine dakika 2 🙄Kwahiyo mlitaka waende sawa na boss wao???
Ukiachilia mbali kwamba una sound kama mtoto wa kike wa uswahilini, pia unaonekana mweupe kinoma kichwani.Siasa zimekujaje hapa wewe?
Sound unajua ilisimamiwa na nani?
DJ's walikuwepo wengi ni kila mmoja ana aina yake ya muziki, Ommy huwa ni mtu wa amsha amsha, Kidlax na Jacko hawa ni motooo sitaki kuwazungumzia.
Kuna wanyama wengine pale Dj lucky, DJ Y.O.B na DJ Delvik haki ya mzungu ukisikia playlist zao wewe sikiliza hata wasafi fm upagawe
Nadhani ulikuwa una stream YouTube ndio maana ungeangalia Tv au ukaenda uwanjani unamjua Tudd Thomas unamsikia wewe ndio sound engineer wa Simba sasa hivi.
Show ya kahama ya one man one mic ilikuwa yeye.
Hakika jana Simba aliuwa igweeeeee hutaki jinyonge brother maana utaendelea kuumia sana huku ukimfatilia
WASAFI BABA LAOHiyo festival inabebwa na member wa Wasafi (Locally), tofauti na hapo hamna kitu. Dudubaya naye ana-perform! Jeez!!
Old ndo wana vibe baba lao,unateseka...?Najaribu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finaly, what I see jamaa bado wana long way to go.
Kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old School tu.
Sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist!
Kila tamasha Kuna kuwa na mtu mzito ambaye lazima apewe dakika nyingi kuliko mwingine mbona fiesta ya 2014 nafikiri diamond alipewa dakika nyingi za kuperform kuliko msanii yoyote mbona ukusema fiesta ni ya diamond.Si ndiyo maana tunashauri waliite Diamond Festival kuliko Wasafi Festival, Tamasha liwe wasafi halafu msanii mmoja masaa 3 mwingine dakika 2 🙄