Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,236
Uzi wa viatu ndio mzuriKwenye uzi wa walevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wa viatu ndio mzuriKwenye uzi wa walevi
Inferior mentality,hata wasingekuja hao still ile list ya local artists waliohit zamani + wasasa na wasafi crue wangetosha kujaza hata national Stadium.ulitarajia uwepo wa kina Savage na Wizkid watu wawe wachache?
Mkuu Mbona inaonekana umeumizwa sana d'mond kupata mda mwingi wa ku perform,hakuna haja ya kuliita diamond festival,nadhani ulimwengu unajua ukitaja wasafi haijalishi ni FM, TV, au WCB unamaanisha Diamond platinumzSi ndiyo maana tunashauri waliite Diamond Festival kuliko Wasafi Festival, Tamasha liwe wasafi halafu msanii mmoja masaa 3 mwingine dakika 2 [emoji849]
kuwa mweupe kichwani ina maana uko na akili.Ukiachilia mbali kwamba una sound kama mtoto wa kike wa uswahilini, pia unaonekana mweupe kinoma kichwani.
Unaulizwa unaitwa nani unajibu 'hujaoa bado upo shule'
Sanaaahakuna kitu kama hiyo bangi haina shida, labda kichwa yako ina wadudu ndo maana unawehuka, wavuta bangi ni wastaarabu sana
Hao wasanii wote ni kundi la wavuta bangi, hakuna alieimba hapo, kama umetoa pesa yako kwenda kuangalia huo upuuzi jua wewe ni mvulana sio mwanaume mwenye majukumu.
Akikujibu unitagWewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.
Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.
Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?