Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Yaani katika fikra zake anaona wananchi wanachokosa kwa polisi ni utani tu? Kuwa ndo issue kubwa? Kuwa sasa wafurahi maana maisha yao yatakuwa ok kwa kuwa wanataniana na polisi? Hasemi msiogope KUWASHTAKI POLISI WANAPOKOSEA AU WANYANYASA. Yeye anaona deal ni kuwatania?
SIKU ZOTE NITALIA NA ALIYEWAROGA WAAFRIKA. ALITUFANYIA JAMBO BAYA SANA.
SIKU ZOTE NITALIA NA ALIYEWAROGA WAAFRIKA. ALITUFANYIA JAMBO BAYA SANA.