Hili Tangazo la utumishi kuhusu uhamisho ni la kibaguzi

Hili Tangazo la utumishi kuhusu uhamisho ni la kibaguzi

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nasikitika Sana kuona "maelekezo" ya Tangazo hilo kuhusu Watumishi kuhama kuwafuata wenzi wao likiwabagua Wenza ambao sio waajiriwa WA sekta binafsi au waajiriwa wa Serikali.

Eti ili uweze kuhamishiwa kwa mwenzi wako LAZIMA wote muwe Serikalini, sasa Mimi ambaye sio mwajiriwa ila mwenzi wangu yuko Serikalini ina maana Watoto Wangu wateseke kisa Tu Mimi sio mwajiriwa?

Hapa ndio chanzo cha rushwa kinatengenezwa, ni heri mngeruhusu wote Tu KULIKO kuweka madaraja. Ndoa haziangalii Ajira , ndoa ni makubaliano na ustawi wa familia haungalii wewe ni Nani.
IMG-20241001-WA0010.jpg
 
Nasikitika Sana kuona "maelekezo" ya Tangazo hilo kuhusu Watumishi kuhama kuwafuata wenzi wao likiwabagua Wenza ambao sio waajiriwa WA sekta binafsi au waajiriwa wa Serikali.

Eti ili uweze kuhamishiwa kwa mwenzi wako LAZIMA wote muwe Serikalini, sasa Mimi ambaye sio mwajiriwa ila mwenzi wangu yuko Serikalini ina maana Watoto Wangu wateseke kisa Tu Mimi sio mwajiriwa?

Hapa ndio chanzo cha rushwa kinatengenezwa, ni heri mngeruhusu wote Tu KULIKO kuweka madaraja. Ndoa haziangalii Ajira , ndoa ni makubaliano na ustawi wa familia haungalii wewe ni Nani.View attachment 3111767
Serikali itaingiliaje maamuzi ya sekta binafsi? Je kama hiyo kampuni/taasisi binafsi haina branch au ofisi mkoa unaotakiwa kwenda wanafanyaje? Au haina mahitaji ya kuongeza mfanyakazi inakuaje? Au kupunguza?
 
Nasikitika Sana kuona "maelekezo" ya Tangazo hilo kuhusu Watumishi kuhama kuwafuata wenzi wao likiwabagua Wenza ambao sio waajiriwa WA sekta binafsi au waajiriwa wa Serikali.

Eti ili uweze kuhamishiwa kwa mwenzi wako LAZIMA wote muwe Serikalini, sasa Mimi ambaye sio mwajiriwa ila mwenzi wangu yuko Serikalini ina maana Watoto Wangu wateseke kisa Tu Mimi sio mwajiriwa?

Hapa ndio chanzo cha rushwa kinatengenezwa, ni heri mngeruhusu wote Tu KULIKO kuweka madaraja. Ndoa haziangalii Ajira , ndoa ni makubaliano na ustawi wa familia haungalii wewe ni Nani.View attachment 3111767
Simbachawene hajawahi kumiliki akili
 
Pale UTUMISHI kuna shida kubwa sana; kuna barua za watu kufuata wenza Wao wameambatanisha nyaraka zote lakini barua zao hazijafanyiwa kazi zaidi ya mwaka sasa...alafu wanakuja na kelele zingine.
UTUMISHI acheni matamko na matangqzo ambayo hamwezi kuyatekeleza.
 
Pale UTUMISHI kuna shida kubwa sana; kuna barua za watu kufuata wenza Wao wameambatanisha nyaraka zote lakini barua zao hazijafanyiwa kazi zaidi ya mwaka sasa...alafu wanakuja na kelele zingine.
UTUMISHI acheni matamko na matangqzo ambayo hamwezi kuyatekeleza.
Mimi ni mmoja wao, Wife kapeleka muda Sana Sana, soon namuachisha KAZI Aiseee!
 
Mimi ni mmoja wao, Wife kapeleka muda Sana Sana, soon namuachisha KAZI Aiseee!
Hapo UTUMISHI kuna upumbavu sana; wao ndiyo wa kwanza kuwalaumu viongozi wa taasisi zingine kuhusiana na kuchelewesha taarifa za watumishi wao alafu wao wanaona wana haki ya kukaa na taarifa za mtumishi bila kuyafanyia kazi zaidi ya miezi nane.
Mara wanaanzisha mfumo ess lakini bado nyaraka hazitoki; wanasema leta nyaraka zote bado barua hazitoki sasa kuna maana gani mtumishi kufuata taratibu zote ili wao wafanye kazi ya kutoa idhini tu?
Bwana Katibu Mkuu alienda hapo kupaaribu siyo kuboresha...
 
Mimi ni mmoja wao, Wife kapeleka muda Sana Sana, soon namuachisha KAZI Aiseee!
Kwann umuachishe kazi mkeo ambae mume wake namba moja ni kazi na amwmuhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 tangu anazaliwa?

Hapa wabeijing utawaua tu mzee
 
Hapo UTUMISHI kuna upumbavu sana; wao ndiyo wa kwanza kuwalaumu viongozi wa taasisi zingine kuhusiana na kuchelewesha taarifa za watumishi wao alafu wao wanaona wana haki ya kukaa na taarifa za mtumishi bila kuyafanyia kazi zaidi ya miezi nane.
Mara wanaanzisha mfumo ess lakini bado nyaraka hazitoki; wanasema leta nyaraka zote bado barua hazitoki sasa kuna maana gani mtumishi kufuata taratibu zote ili wao wafanye kazi ya kutoa idhini tu?
Bwana Katibu Mkuu alienda hapo kupaaribu siyo kuboresha...
Teuzi za hovyo zinaua utumishi wa umma
 
Kwann umuachishe kazi mkeo ambae mume wake namba moja ni kazi na amwmuhangaikia kwa zaidi ya miaka 15 tangu anazaliwa?

Hapa wabeijing utawaua tu mzee
Hahahahaha Beijing imeharibu sana wanawake, sasa hivi nao wanataka haki sawa
 
Back
Top Bottom