chamlungu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2012 Posts 324 Reaction score 336 Mar 7, 2015 #1 Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18?
Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18?
C Capt Nemo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 1,445 Reaction score 680 Mar 13, 2015 #2 chamlungu said: Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18? Click to expand... Siku hizi wameboresha zaidi tangazo la nature hii kwa kuongeza "HAIUZWI WALA KUTUMIWA KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18"
chamlungu said: Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18? Click to expand... Siku hizi wameboresha zaidi tangazo la nature hii kwa kuongeza "HAIUZWI WALA KUTUMIWA KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18"
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Mar 14, 2015 #3 Kunywa kistaarabu
M MZAWA JF JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 4,491 Reaction score 3,996 Mar 14, 2015 #4 hii wameitafsiri wrongly toka kwn slogan ya castle lager 'drink responsibly'. naona waliona wakiandika kunywa huku ukiwajibika au ukitimiza majukumu yako wabongo wataquit. tafakari yangu hiyo
hii wameitafsiri wrongly toka kwn slogan ya castle lager 'drink responsibly'. naona waliona wakiandika kunywa huku ukiwajibika au ukitimiza majukumu yako wabongo wataquit. tafakari yangu hiyo