chamlungu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 324
- 336
Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE
Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18?
Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa kutumia endapo watanunuliwa na mtu mwenye zaidi ya miaka 18?