chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 212
kwa yeyote anayefahamu hili tatizo nitalitatuaje naomba anisaidie kama unafahamu mahali popote ambapo naweza kupata tiba naomba vilevile uni PM!
tatizo lenyewe ni hili miaka kadhaa iliyopita nilijigundua kuwa mbegu zangu haziwezi kurutubisha yai yaani siwezi kumpa mwanamke mimba (low sperm count) hii ni baada ya kufanya majaribio kadhaa ya kumeet na demu katika siku zake na nilipoenda hospitali ikasibitika ni kweli,nimezunguka hosipitali nyingi sana TMJ,amana,michocheni lakini wapi! hadi kwa yule jamaa wa tiba mbadala pale ilala bungoni tena yule ni mbabaishaji ile mbaya!
i know siku zaliwa hivi kozi hapo nyuma hata spem zangu zilikuwa tofauti na sasa hivi,sasa hivi nyepesi saanaa, so nimagonjwa ya zinaa flani hivi!
naomba kwa yeyote anayeweza kufahamu mahali ninapoweza kupata tiba nikapona kwa hapa nchini nitashukuru sana zawadi ya shukrani itatolewa.
naomba PM zenu muhimu
very seriouz!!!!!!
tatizo lenyewe ni hili miaka kadhaa iliyopita nilijigundua kuwa mbegu zangu haziwezi kurutubisha yai yaani siwezi kumpa mwanamke mimba (low sperm count) hii ni baada ya kufanya majaribio kadhaa ya kumeet na demu katika siku zake na nilipoenda hospitali ikasibitika ni kweli,nimezunguka hosipitali nyingi sana TMJ,amana,michocheni lakini wapi! hadi kwa yule jamaa wa tiba mbadala pale ilala bungoni tena yule ni mbabaishaji ile mbaya!
i know siku zaliwa hivi kozi hapo nyuma hata spem zangu zilikuwa tofauti na sasa hivi,sasa hivi nyepesi saanaa, so nimagonjwa ya zinaa flani hivi!
naomba kwa yeyote anayeweza kufahamu mahali ninapoweza kupata tiba nikapona kwa hapa nchini nitashukuru sana zawadi ya shukrani itatolewa.
naomba PM zenu muhimu
very seriouz!!!!!!