Yani huwa pua linaniwasha siyo kawaida,huambatana na chafya mfululizo yenye mafua.pia mafua ya ghafla hunijia endapo nitakutana na pafyum kali,rangi kali nk. Niliambiwa nina aleg
¤ dawa yake ni nini?
Original source ya allergy ni maji kuwa kidogo mwilini.so penda kunywa maji kwa wingi.Epuka izo harufu kadri uwezavyo then kuna dawa za hospital kama sikosei zinaitwa antihistamine.subir ma doctor waje mi sio doc ila na experienc kidogo na iyo ishu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.