Hili tukio lilinichekesha sana japo mwamba aliaibika mno



WALA HAICHEKESHI. UPUUZI TU
 
Nauliza tu, na wewe ulikuwa unavuta sugara mara moja moja?!
Hapana situmii kilevi chochote nimeishi na wavuta bangi, wanywa pombe, wavuta sigara, watumia ugoro na ma kubeli lakini I am totally free from drugs
 
Umenikumbusha mbali mkuu kilimo cha tumbaku msoto wake balaa, mambo ya kuchuma, kugrage, kuchochea mabani dah! Sema hela yake tamu sana
 
Yale magogo ya kuchochea sio poa,mabega yanachubuka dadek!....lekagi disuye ehaha dakoya noi bhagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…