Hili Vibe la Wanaosafiri kwenda Pele Stadium Kigali Rwanda liwepo hata mkirejea Dar baada ya Kufungwa na Msudani

Hili Vibe la Wanaosafiri kwenda Pele Stadium Kigali Rwanda liwepo hata mkirejea Dar baada ya Kufungwa na Msudani

...... [emoji599] ›› 𝗘𝗟 𝗠𝗘𝗥𝗥𝗜𝗘𝗞 [emoji1232]!

Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.

[emoji1232] Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla [emoji1206] (wamecheza jana)

[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports [emoji1206]
[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 0 Otoho [emoji1077] ›› CAF
[emoji1232] Al-Merrikh 1 - 1 Otoho [emoji1077] ›› CAF
[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports [emoji1206]

16 September 2023

[emoji1232] Al-Marrikh ? — ? Yanga [emoji1241]

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.

Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.

Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.
Hayo mashindano hayajumuishi timu za vipofu kama Kule kwenu loosers cup mlikokuzoea .Huku kuna miamba Kwelikweli.

Mjiandae kisaikolojia kurudi kuja kupokea wageni airport kama mlivyozoea Maana ndiyo kazi mnayoiweza.
 
...... 🚨 ›› 𝗘𝗟 𝗠𝗘𝗥𝗥𝗜𝗘𝗞 🇸🇩!

Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.

🇸🇩 Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla 🇷🇼 (wamecheza jana)

🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports 🇷🇼
🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 0 Otoho 🇨🇬 ›› CAF
🇸🇩 Al-Merrikh 1 - 1 Otoho 🇨🇬 ›› CAF
🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports 🇷🇼

16 September 2023

🇸🇩 Al-Marrikh ? — ? Yanga 🇹🇿

😜😜😜😜😜

***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.

Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.

Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.
Mimi ni nani nisiunge mkono hoja
 
...... 🚨 ›› 𝗘𝗟 𝗠𝗘𝗥𝗥𝗜𝗘𝗞 🇸🇩!

Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.

🇸🇩 Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla 🇷🇼 (wamecheza jana)

🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports 🇷🇼
🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 0 Otoho 🇨🇬 ›› CAF
🇸🇩 Al-Merrikh 1 - 1 Otoho 🇨🇬 ›› CAF
🇸🇩 Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports 🇷🇼

16 September 2023

🇸🇩 Al-Marrikh ? — ? Yanga 🇹🇿

😜😜😜😜😜

***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.

Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.

Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.
El mereikh inajulikana wazi hakuna timu hapo, ndiomaana hata wakikutana na simba wanakalia na kufukuza kocha.
 
Back
Top Bottom