Kombe lavibonde ndio mkachoma uchawi kule kwamadibaWewe waache tu na mbio zao za sakafuni watarudi kama mazombie hapa, ile kufika fainali ya kombe la vibonde wanajiona wamemaliza. Ulimbukeni ni gonjwa baya sana.
Haiondoi ukweli kuwa hilo ni kombe la vibonde nyie ushamba na ulimbukeni ndiyo unawasumbua.Kombe lavibonde ndio mkachoma uchawi kule kwamadiba
Hayo mashindano hayajumuishi timu za vipofu kama Kule kwenu loosers cup mlikokuzoea .Huku kuna miamba Kwelikweli....... [emoji599] βΊβΊ ππ π ππ₯π₯πππ [emoji1232]!
Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.
[emoji1232] Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla [emoji1206] (wamecheza jana)
[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports [emoji1206]
[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 0 Otoho [emoji1077] βΊβΊ CAF
[emoji1232] Al-Merrikh 1 - 1 Otoho [emoji1077] βΊβΊ CAF
[emoji1232] Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports [emoji1206]
16 September 2023
[emoji1232] Al-Marrikh ? β ? Yanga [emoji1241]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.
Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.
Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.
Mimi ni nani nisiunge mkono hoja...... π¨ βΊβΊ ππ π ππ₯π₯πππ πΈπ©!
Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.
πΈπ© Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla π·πΌ (wamecheza jana)
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports π·πΌ
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 0 Otoho π¨π¬ βΊβΊ CAF
πΈπ© Al-Merrikh 1 - 1 Otoho π¨π¬ βΊβΊ CAF
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports π·πΌ
16 September 2023
πΈπ© Al-Marrikh ? β ? Yanga πΉπΏ
πππππ
***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.
Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.
Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.
El mereikh inajulikana wazi hakuna timu hapo, ndiomaana hata wakikutana na simba wanakalia na kufukuza kocha....... π¨ βΊβΊ ππ π ππ₯π₯πππ πΈπ©!
Hizi ndizo mechi za mwisho za Al-Merrikh.
πΈπ© Al-Marrikh 1 - 3 Gorilla π·πΌ (wamecheza jana)
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 1 Rayon sports π·πΌ
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 0 Otoho π¨π¬ βΊβΊ CAF
πΈπ© Al-Merrikh 1 - 1 Otoho π¨π¬ βΊβΊ CAF
πΈπ© Al-Merrikh 0 - 0 Rayon sports π·πΌ
16 September 2023
πΈπ© Al-Marrikh ? β ? Yanga πΉπΏ
πππππ
***** Makolo wanaenda kufumuliwa na Power Dynamos alafu Super league wataweka mpira kwapani.
Mtake msitake hizi ni zama za Yanga, mtateseka sana kubaki watazamaji wa mafanikio ya Yanga mpaka 2030, mafanikio mliyowahi kuyapata hapo nyuma yatabaki historia na Yanga atayavuka.
Yanga haijacheza CAF mabingwa tangu 1998 lakini kaeni kwa kutulia muone itavyofika nusu fainali, na huu ndio mwanzo wa golden Era.