gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
haluuuuu limependezaje sasa?
mwaya wala usiwaze utalipataje bali fanya hivi.
weka pesa kwenye simu yako yaani mpesa, ama tigo pesa, ama airtel money, ama ezypesa. kisha ingia jf upande wa kulia chini utaona tangazo
"support jamii forum and become a jf premium member"
basi utabofya hapo halafu utamwona MIKE MAKEE akikupa maelezo namna ya kuchangia ili uweze kulipata kama hili lol!
najua Bishanga Superman na wengine yakwao yako juu zaid lakin si haba hata kama sweetlady litakupendeza. Asprin na Nyani Ngabu mko juu ila mmefungana na mwl banaa lol! kumbe hata wanawake tunaweza atii.
haya mashosti zangu akina cacico, snowhite, Madame B, King'asti, Kongosho, amu, lara 1, Ciello na wengine wooooooooteeeeeeeeeee ekeni kuanzia elfu 20 tu mtayapata machata ya kufa mtu. wanawake tunaweza atiii. tena tujipambe kweli wakaka tuwashinde ndipo wajue wanawake juuu zaidi ziku zote............. eboh!!!
uzuri wanawake wa jf ni hodari sana wa kuchangia najua Kongosho na King'asti ya kwenu yame expire tu sasa liactivate na najua nyie kama si ma platinum basi ni matanzanite.
wanawake na maendeleo tufanye kazi tusonge mbeleee yelele yeleeeeeee eeeh wanawake yelee yeleeee eeh kina mama!!!!!!!!!!!!!!!!!!
sasa wakaka na wababa wa jf tutawacheka sana tukiwashinda kwa kuchangia lol! mmeskia??? angalieni tena nitamwomba MIKE MAKEE SIKU TUFANYE KUPEWA STATISTICS ZA WACHANGIAJI BORA KATI YA WAKINA DADA/ WAMAMA NA KATI YA WAKAKA/WABABA.
KWA WALE AMBAO MAANDSHI YAO YAMETHIBITISHA HAYO.
najua akina mama lazima tuwashinde tu hawa wababa.
kina mama oyeeee!
mwl juuu! wote kwa pamoja.............
mwaya wala usiwaze utalipataje bali fanya hivi.
weka pesa kwenye simu yako yaani mpesa, ama tigo pesa, ama airtel money, ama ezypesa. kisha ingia jf upande wa kulia chini utaona tangazo
"support jamii forum and become a jf premium member"
basi utabofya hapo halafu utamwona MIKE MAKEE akikupa maelezo namna ya kuchangia ili uweze kulipata kama hili lol!
najua Bishanga Superman na wengine yakwao yako juu zaid lakin si haba hata kama sweetlady litakupendeza. Asprin na Nyani Ngabu mko juu ila mmefungana na mwl banaa lol! kumbe hata wanawake tunaweza atii.
haya mashosti zangu akina cacico, snowhite, Madame B, King'asti, Kongosho, amu, lara 1, Ciello na wengine wooooooooteeeeeeeeeee ekeni kuanzia elfu 20 tu mtayapata machata ya kufa mtu. wanawake tunaweza atiii. tena tujipambe kweli wakaka tuwashinde ndipo wajue wanawake juuu zaidi ziku zote............. eboh!!!
uzuri wanawake wa jf ni hodari sana wa kuchangia najua Kongosho na King'asti ya kwenu yame expire tu sasa liactivate na najua nyie kama si ma platinum basi ni matanzanite.
wanawake na maendeleo tufanye kazi tusonge mbeleee yelele yeleeeeeee eeeh wanawake yelee yeleeee eeh kina mama!!!!!!!!!!!!!!!!!!
sasa wakaka na wababa wa jf tutawacheka sana tukiwashinda kwa kuchangia lol! mmeskia??? angalieni tena nitamwomba MIKE MAKEE SIKU TUFANYE KUPEWA STATISTICS ZA WACHANGIAJI BORA KATI YA WAKINA DADA/ WAMAMA NA KATI YA WAKAKA/WABABA.
KWA WALE AMBAO MAANDSHI YAO YAMETHIBITISHA HAYO.
najua akina mama lazima tuwashinde tu hawa wababa.
kina mama oyeeee!
mwl juuu! wote kwa pamoja.............
clap, clap,clap!!!!!!!!!!!!!
clap for gfsonwin!
keep it up!
clap for gfsonwin!
keep it up!
Last edited by a moderator: