MwanaharakatiReal
Member
- Apr 20, 2021
- 26
- 30
Takataka hao, sikiliza AIR WEUSI.1.Dizasta vina
2.Nikki mbishi
3.P mawenge
..........
KWA ufupi wote waliowai kupita KWA duke,TAMADUN MUZIK
Jamaa Noma Huyu
Ndio maana nikasema wote waliopita kwa DUKE, TAMADUNI MUZIK, wote ni wakali ila d vina, p mawenge, nikki mbishi watachukua top 3[emoji3581]One The Incredible
Stereo
Songa... Mnawasahau Vipi Hawa?
Air weusi ukitoa mbupu, machete zilizobaki ni hamna kituTakataka hao, sikiliza AIR WEUSI.
Ile ni album of the year mkuu.
Mzee album nzima nyimbo zote Kali ..ujaskiza furesh nini? Kwnza intro tu uginiazi umetumika.Air weusi ukitoa mbupu, machete zilizobaki ni hamna kitu
Mzee Watu Wanaongelea Hip Hop Ujue.. Tofautisha Kati Ya HIP HOP Na Mziki Wa Rap! Ukiijua Hiyo Yofauti Hiwezi Kuwapinga Wakina One The incredible Bro.. Wale Ndo Ma Geneous Sasa.. Amini NakwambiaMzee album nzima nyimbo zote Kali ..ujaskiza furesh nini? Kwnza intro tu uginiazi umetumika.
Unamshauli asikilize mchele mcheleTakataka hao, sikiliza AIR WEUSI.
Kacha haiwezi tunzwa na watoto mchele Michele/:[emoji23][emoji23]Unamshauli asikilize mchele mchele
Ndio. ManakeKacha haiwezi tunzwa na watoto mchele Michele/:[emoji23][emoji23]
Binafsi nadhani kuna watu tunawakosea heshima bure tu kama hatuwataji:According to billboard awa ndio mcs wakali kuwai kutokea duniani
1. BIG POPA
2. Jay Z
3. Eminem
4. Rakim Allah
5. Nas
6. Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. GhostFace Killa
9. Kendrick Lamar
10. Lil Wayne
According to billboard awa ndio mcs wakali kuwai kutokea duniani
1. BIG POPA
2. Jay Z
3. Eminem
4. Rakim Allah
5. Nas
6. Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. GhostFace Killa
9. Kendrick Lamar
10. Lil Wayne
Uyo kamuacha 2pac aaaah kazinguaWee jamaa unamuacha PAC unaweka nn
SnoopWee jamaa unamuacha PAC unaweka nn