HIP HOP FREESTYLE: Maneno yako ya mwisho kabla sijafa

HIP HOP FREESTYLE: Maneno yako ya mwisho kabla sijafa

On my death bed, I see my presence on this earth get fade

I'm suprised, I was smiling, instead of being sad,

Does that make me strong and not a coward?

Remembering when I was at twenties, I had plenty,

I thought, that energy I had forever will stay

Everything was okay, never thought one day I'm gonna turn to ninety

Magonjwa ya uzee yamenishika mazee, kama yotee

Pembeni kuna kijana amevaa koti jeupe

Ananicheki kwa jicho la huruma kibabu cheupe,

Nimejichokea, namwomba Mola niache nisepe

Daktari anasema you have got 24 hours left

Say your last words before your name changed into the late

Dear God forgive me for the sins I have done,

I have done my part in this world, its Mc Cane
 
Mkuu wewe mkali. Ingia studio for fun. Utauza for fun. Pale Morogoro nilisoma na SQUEEZER, Getto niliishi na GODFREY TUMAINI! Baadae DSM nikaishi Camp 1 na Kali P kabla baadae kukutana na MwanaFa A level! Nafanya Hip Hop upande wa usikilizaji tu
Mi mziki hua napenda kuchana just for fun sijawahi kuwa na kipaji cha kunifikirisha niende studio

Lakini kipaji hakifi unaweza ukaendelea kutwanga japo hakuna mpunga kwenye kinu
 
Mkuu wewe mkali. Ingia studio for fun. Utauza for fun. Pale Morogoro nilisoma na SQUEEZER, Getto niliishi na GODFREY TUMAINI! Baadae DSM nikaishi Camp 1 na Kali P kabla baadae kukutana na MwanaFa A level! Nafanya Hip Hop upande wa usikilizaji tu
Daaah zote hizo zilikua ni connection mkuu kwanini ulizi kacha?
 
Mkuu wewe mkali. Ingia studio for fun. Utauza for fun. Pale Morogoro nilisoma na SQUEEZER, Getto niliishi na GODFREY TUMAINI! Baadae DSM nikaishi Camp 1 na Kali P kabla baadae kukutana na MwanaFa A level! Nafanya Hip Hop upande wa usikilizaji tu
Legend never die.. Talent never fade..
Show us what you got buddy..
 
On my death bed, I see my presence on this earth get fade

I'm suprised, I was smiling, instead of being sad,

Does that make me strong and not a coward?

Remembering when I was at twenties, I had plenty,

I thought, that energy I had forever will stay

Everything was okay, never thought one day I'm gonna turn to ninety

Magonjwa ya uzee yamenishika mazee, kama yotee

Pembeni kuna kijana amevaa koti jeupe

Ananicheki kwa jicho la huruma kibabu cheupe,

Nimejichokea, namwomba Mola niache nisepe

Daktari anasema you have got 24 hours left

Say your last words before your name changed into the late

Dear God forgive me for the sins I have done,

I have done my part in this world, its Mc Cane
Hivi mnajua siku hiyo ntaziskia sauti, japo nitakua ndani ya jeneza nimenyuti/

Ntawaskia walio wema hadi mamluki, sauti ya vilio vya fitina vilivyojaa chuki/

Scars kafa kwa ngoma alipenda sana wasichana, eti ndio sababu iliyomfanya afe huyu mwana/

Tulimwambia ashike dini amkubuke bwana, akasema mnipishe acheni nile ujana/
 
Kwa mbali nasikia, Rika zoote wanalia

Wanajihoji huyu mshua, ni kweli amekuwa is no more

Maneno mengi mengi, kama ilivyokuwa kwa mwamba Mengi

Nikasikia sauti ya Mangi inauliza jeneza limeshapakwa rangi

Parapanda italia Parapanda, mara sijui nini we Pinda umeandaa Sanda?

Sijisikii kitu, nasikia watu, wanachangishana bukubuku

Katika kujiuliza za nini, Nikasikia rambirambia za kununua kuku

Baada ya kitambo, Nikasikia shusha taratibu

Mara michanga inarushwa juu, sauti zikasizi, nikaona kiza kikuu




Hivi mnajua siku hiyo ntaziskia sauti, japo nitakua ndani ya jeneza nimenyuti/

Ntawaskia walio wema hadi mamluki, sauti ya vilio vya fitina vilivyojaa chuki/

Scars kafa kwa ngoma alipenda sana wasichana, eti ndio sababu iliyomfanya afe huyu mwana/

Tulimwambia ashike dini amkubuke bwana, akasema mnipishe acheni nile ujana/
 
Kwa mbali nasikia, Rika zoote wanalia

Wanajihoji huyu mshua, ni kweli amekuwa is no more

Maneno mengi mengi, kama ilivyokuwa kwa mwamba Mengi

Nikasikia sauti ya Mangi inauliza jeneza limeshapakwa rangi

Parapanda italia Parapanda, mara sijui nini we Pinda umeandaa Sanda?

Sijisikii kitu, nasikia watu, wanachangishana bukubuku

Katika kujiuliza za nini, Nikasikia rambirambia za kununua kuku

Baada ya kitambo, Nikasikia shusha taratibu

Mara michanga inarushwa juu, sauti zikasizi, nikaona kiza kikuu
Nomaaa

Amka mwana fungua mdomo sema chochote, kama sauti imekwama fungua macho pandisha juu hizo kope/

Uliahidi kuitunza familia yako siku zote, sasa kivipi uwaache peke yao wasote?/

Nashindwa niwajibu nini, kuongea siwezi japo nina ulimi/

Natamani wajue nawasikia pengine itawapunguzia huzuni, Wakijua hawata nifukia na kuniacha peke yangu kaburini/

Mara naskia fungua kitabu cha warumi, natafakari kujua ni nani kumbe ni maneno kutoka kwa kuhani/
 
I'm so fu*ck upset, this world is about to end and Jesus doesn't arrived yet/

I choose to be an atheist, so if you judge you won't be the first....

Vipi kama imani ni kizuizi imewekwa ili tushindwe kuhoji, unahangaika kufunga na kusali usiku kucha huku wanaojua ukweli wame mbonji/

Ulichokiona sio muujiza, nyuma ya pazia ni njama iliyowekwa ili kukukandamiza/

Hawataki uifikie hiyo siri ndomana wameifichwa ndani ya kiza, Joho la mhubiri limeficha mengi yanayotendeka wakati wa misa/


Wanafanya maigizo kukuteka kiakili wakuibie senti uliyoidunduliza, hawana huruma hawajali kua umechoka wao wanazidi kukukimbiza/

Kwanini ukubali kudhurumika, jiulize tumia akili waweza salimika/


Kama tunafundishwa kua yuko kila Kona, Iweje tunakufa kwa corona/

Tumepewa uhuru wa kuchagua lakini hatuna uhuru wa kupona, nini lengo la kumpa tv kipofu wakati unajua hawezi kuona/

Vipi kama hayupo na tumefundishwa uongo, au sala zetu zinapuuzwa kwasababu katupa kisogo/

Vipi kama wanalijua hilo ila wameamua kutumia dini kama mchongo, wao wale na kusaza masikini akisugua magoti madhabahuni akisubiri makombo/

Haiingii akilini napitia msoto na kutaabika, wakati dini imenifunza kulia na kushoto nina walinzi ambao ni malaika/


Kwanini kila dini inahubiri kua ni ya kweli, wakati matamanio yao juu yetu ni kututapeli/


Kwa nini wanatufundisha somo ambalo wenyewe wamefeli, kama tajiri ni ngumu kuiona pepo Why pasta anapush benz waumini baiskeli/

Scars sioni sababu ya kuabudu, sioni sababu ya kulala njaa kwa kuikana kibudu/

Kusudi la dini ni nini,,,kama watu bado wanapata tabu, Tunajizuia kuzini,,,lakini ndoa zinatuweka sub/

Sioni sababu ya kuikacha tamaduni na kuikumbatia misaafu, siwezi kumkataa mwanamalundi na kumkubali mtoto wa yosefu/

Hivi ni kweli yesu anaponya, kwanini sadaka zetu zinatumika kujenga hospitali ili kutibu wagonjwa/

Hivi ni kweli vipofu wakiombewa wanapona, mbona wachungaji wanavaa miwani ya macho ili waweze kusoma/

Mambo ni mengi yanatendeka kanisani mengine naogopa kuyasema, nilipoumwa kidole niliombewa na mchungaji mwenye kilema/

Ni ngumu kuamini kama uwepo wa rasi mwenye kipara, au fundi selemala kwenye jangwa la sahara/

Inaniwia vigumu kuamini tumekombolewa kwa kafara, wakati mtaani watu wazima na watoto wanasota kwa ufukara/

Kama tunachofunzwa hakiendani na uhalisia basi dini ni biashara, kuendelea kuwatukuza wakati tunakandamizwa huo ni ufala/






It's Scars
 
Dax my last word
Maneno yako ya mwisho yatakuwaje endapo akatokea mtu akakuwekea bastola kichwani kisha akakupa nafasi uongee maneno yako ya mwisho kabla hajakuua??

Naanza na mimi

Je nitatamani niwaombe msamaha wale wote niliowakosea kabla sijafa?, ili nikifa niende pepo yenye furaha isiyo na maafa/

Je nitajutia maamuzi yangu niliyoyafanya kipindi ambacho nina afya, au nitasizi na kukomaa kimafia?/

Au nitapiga kelele kuomba msaada kwa watu niepukane na kifo, Au kupiga dua kushirikisha malaika wamshushe kristo/

Ugekua wewe ungeweza kumsamehe hadi muuaji ambaye atayateketeza maisha yako, au roho yako itakua ngumu kufunguka kama lango la gereza la keko/

Utaweza kuyafanya hayo ili kuipata pepo uliyoaidiwa na dini yako, au utajivika ukauzu kupuuzia habari za dini na mambo ya upako/

Utakumbuka kutaja ID yako ili tukukumbuke nasisi kwa mchango wako, au hutajali utafanya mambo kibinafsi kivyako vyako?/

Je utajutia kupoteza muda wako,,,kwa watu ambao hawajawahi kuweka muda wao kwa ajiri yako??/

Utakufa ukiwa bado unakinyongo na mimi, kwa zile mada nazozipinga hapa jamvini?/

Inamaana hujawahi kufurahishwa na mimi, hata kwa zile post za utani wa vituko mitandaoni?/

Please dont let me down, nami pia ni mtu japo ngozi yangu ni brown/

.............Mwisho.......

Usisahau kuweka na yako


Mvumbo Daby
Da'Vinci
kurlzawa
 
jia jia jia

unazingua hiyo siyo bastola
ngoja nitubu dhambi zangu pengine nitasamehe na mola,
ulitaka coca cola,
nikachukua maji nikachanganya chemicola,
nani bora,
mimi ninayejishughurisha au wale wanaopora,
samahani pia kwa nilichomfanya Norah,
 
tulivyokutana

nimeacha familia mkoa
nilikuwa kwenye harakati mjini zakuwatafutia barakoa,
mambo ,
poa,
miminimkulimaakachekasana umeoa?
naomba kukufulia nguo zina mengi madoa
lakini wewe si mke wa mtu
msela wako full mitutu
haoni shida kuondoka na roho ya mtu
 
Back
Top Bottom