mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Kwa faida yenu wasanii wa hip hop bongo ni na sehemu nyingine Afrika kuna utafiti niliofanya unaonyesha hakuna msanii yoyote wa hip hop ambaye si wa America.
Amewahi ku heat na kua star dunia kama hatoki Amerika achana na hip hop fanya uanze kuimba tu na kama unafanya kwa ajili ya Tanzania pekee yake sawa lakini kuwa star kwa hip hop nje ya nchi yako sahau kabisa.
My take Fid Q, Weusi, Darasa, Roma, na wengine wote mnaofanya hip hop msitegemee kufika level za bwana Almasi a.k.a Diamond kwa hizo hip hop zenu.
Kama una ushahidi wa msanii gani ambaye anafanya hip hop katoka Afrika na kawa star nje ya Africa nitajie hapa.
Nawasilisha comment za matusi zinakaribishwa pia.
Amewahi ku heat na kua star dunia kama hatoki Amerika achana na hip hop fanya uanze kuimba tu na kama unafanya kwa ajili ya Tanzania pekee yake sawa lakini kuwa star kwa hip hop nje ya nchi yako sahau kabisa.
My take Fid Q, Weusi, Darasa, Roma, na wengine wote mnaofanya hip hop msitegemee kufika level za bwana Almasi a.k.a Diamond kwa hizo hip hop zenu.
Kama una ushahidi wa msanii gani ambaye anafanya hip hop katoka Afrika na kawa star nje ya Africa nitajie hapa.
Nawasilisha comment za matusi zinakaribishwa pia.