Mziki wa Hip Hop unafungamanishwa na ugumu yaani u-hardcore, nyimbo nyingi za Hip Hop zinapewa sifa ya kuibadilisha jamii kifikra.
Lakini kwa bahati mbaya sana, wasanii wengi wa mziki wa aina ya Hip Hop hasa hasa kutoka Marekani kwa kila nyimbo wanazoimba basi zinajaa matusi ku.anzia mwanzo hadi mwisho. Wimbo hausongi bila H***s, A****le na matusi mengine mengi.
Kiukweli sielewi hata wanaosema Hip Hop ni mziki bora wanakuwa wanawaza nini. Mtu unasikiliza albamu nzima inasifia Umalaya, Bange na matusi ya nguoni na bado unadahi unapata Elimu?
Kwa bahati mbaya hata hivi vi-subparts vya Hip Hop kama Trap navyo vimebeba ujinga ule ule.
Wanazi wa Hip Hop huwa nyimbo za Hip Hop zinawaelimisha nini wakati zimejaa lugha nzito nzito?
Mifano ya wasanii wa Hip Hop ambao huwa nyimbo zao zimejaa matusi ni kama hawa Lil Wayne, Young Thug, 2Pac Shakur, Ice Cube, Jay-z, Future n.k
Lakini kwa bahati mbaya sana, wasanii wengi wa mziki wa aina ya Hip Hop hasa hasa kutoka Marekani kwa kila nyimbo wanazoimba basi zinajaa matusi ku.anzia mwanzo hadi mwisho. Wimbo hausongi bila H***s, A****le na matusi mengine mengi.
Kiukweli sielewi hata wanaosema Hip Hop ni mziki bora wanakuwa wanawaza nini. Mtu unasikiliza albamu nzima inasifia Umalaya, Bange na matusi ya nguoni na bado unadahi unapata Elimu?
Kwa bahati mbaya hata hivi vi-subparts vya Hip Hop kama Trap navyo vimebeba ujinga ule ule.
Wanazi wa Hip Hop huwa nyimbo za Hip Hop zinawaelimisha nini wakati zimejaa lugha nzito nzito?
Mifano ya wasanii wa Hip Hop ambao huwa nyimbo zao zimejaa matusi ni kama hawa Lil Wayne, Young Thug, 2Pac Shakur, Ice Cube, Jay-z, Future n.k