Hiphop DX wameidhalilisha nchi, tuwashukieni mzimamzima

Hiphop DX wameidhalilisha nchi, tuwashukieni mzimamzima

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Haiwezekani kwenye picha kuwe na kijana tajiri anayemiliki escallade 2 na mi mali kibao yenye thamani kama dollar millions 400 ,kijana ambaye hadi anao ujeuri wa kuwatukana forbes na kuwaambia kama vipi wa m google, kijana ambaye anavaa saa "original" yenye thamani ya milioni 80 na kama haitoshi ni "michael jackson wa africa"

Vilevile kwenye picha kuna mbunge machachari mwenye hoja za kufa mtu huko bungeni,mbunge aliyekubalika kwa watanzania wote bila kujali itikadi zao, mbunge ambaye nawakumbusha watanzania ubora wa kina Tuntemeke sanga, njelu kasaka, phillip marmo ,masumbuko lamwai, tundu lissu nk, mbunge ambaye ana uwezo wa kuzuia mvua na show ikafanyika.

Sasa inakuwaje mtandao maarufu wa hiphop dx una post picha na kuwataj amajina woooteee halafu hawa MASHUJAA WETU wanaandikwa tu na WENGINEO yaani kama vile extras kwenye picha.

***wahuni eeeeeheeee si mnajua sisi ndiyo tunampa tuzo michael jackson wa afrika akituamrisha? sasa kwa niaba yake nawaamrisha tukavamie pages za hiphop dx kuwalalamikia kwa kuidhalilisha bendera ya nchi au kama vipi mheshimiwa mbunge atumie zile nguvu zake za mababu wa kale.


dharau.PNG
 
diamond utakuta kapigwa ela nyingi sana kupiga hiyo picha...maana amekaa na madalali kibao hapo
 
hahahahaha wameleta dharau kwa michael jackson wa africa, ni yeye peke yake kwenye hiyo picha mwenye jeuri ya kuwatukana google na kuwaita stupid
Michael jackson wa africa..inabidi amtafute na j.lo wa tz(sijui sir nature atakubali)
 
diamond utakuta kapigwa ela nyingi sana kupiga hiyo picha...maana amekaa na madalali kibao hapo
nakumbuka Davido alipojitoa sony label ya Usa alisema back to the basics ,kwamba aliona natumia hela nyingi kuwalipa kina meek mill kufanya collabo halafu hazimtoi soko la marekani...kule unatakiwa upate chance ya star wa kule akushirikishe wewe kama vile wizkid aliposhirikishwa na Drake au diamond aliposhirikishwa na alicia keys na siyo kinyume chake
Ukiwashirikisha wewe ni bahati sna kama utatoboa ufike level ya hit kama ya Mohambi na pussycat dolls, Mohambi mwenyewe siku hizi \napambana afrika huku na diamond ile collabo aliyopewa na allicia keys alivurunda sana ilikuwa ni golden chance ni kama vile mmewe alicia(swiss beatz) ali force kumuweka
 
nakumbuka Davido alipojitoa sony label ya Usa alisema back to the basics ,kwamba aliona natumia hela nyingi kuwalipa kina meek mill kufanya collabo halafu hazimtoi soko la marekani...kule unatakiwa upate chance ya star wa kule akushirikishe wewe kama vile wizkid aliposhirikishwa na Drake au diamond aliposhirikishwa na alicia keys na siyo kinyume chake
Ukiwashirikisha wewe ni bahati sna kama utatoboa ufike level ya hit kama ya Mohambi na pussycat dolls, Mohambi mwenyewe siku hizi \napambana afrika huku na diamond ile collabo aliyopewa na allicia keys alivurunda sana ilikuwa ni golden chance ni kama vile mmewe alicia(swiss beatz) ali force kumuweka
Diamond hakika kashindwa kuitendea haki ile collaboration. Ameshindwa kutembelea chaki
 
Diamond hakika kashindwa kuitendea haki ile collaboration. Ameshindwa kutembelea chaki
ilishangaza sana zile ndo za kuchomokea ,hawa jamaa unaweza wapa hela wakishaingiza verse utajijua mwenyewe ukitaka akupe promo ongeza hela ,angalia collabo ya rick ross aliyoipata kwa connection ya wote kuwa mabbalozi wa kinywaji cha bel air akavurunda tena pale unaona Rick Ross alipost kidogo kwa sababu ya kuwa balozi sijui business patner wa hiyo drink

Mtu anayepasua kimasihara America ni wizkid sielewi how he does it kiukweli anayemuharibia ni Burna boy sababu tobe honest nyimbo z a burna ni level nyingine na chemistry yake na P diddy iko level nyingine

Ukweli ni kwamba bahati aliyopata sadala ya kuwa close na Swiss beats angeipata Nyashiski au sauti sol tungeongea mengine leo maana tusidanganyane kutumia english matters sana kama hutumii english basi kuwa na flavour na mavocal ya kufa mtu kam wa south africa nyimbo kam jerusalema haijalishi hata lugha gani imetumika
 
nakumbuka Davido alipojitoa sony label ya Usa alisema back to the basics ,kwamba aliona natumia hela nyingi kuwalipa kina meek mill kufanya collabo halafu hazimtoi soko la marekani...kule unatakiwa upate chance ya star wa kule akushirikishe wewe kama vile wizkid aliposhirikishwa na Drake au diamond aliposhirikishwa na alicia keys na siyo kinyume chake
Ukiwashirikisha wewe ni bahati sna kama utatoboa ufike level ya hit kama ya Mohambi na pussycat dolls, Mohambi mwenyewe siku hizi \napambana afrika huku na diamond ile collabo aliyopewa na allicia keys alivurunda sana ilikuwa ni golden chance ni kama vile mmewe alicia(swiss beatz) ali force kumuweka
watu hawajui...ila ukweli ni kama ulivoongea mkuu...

Msaani wa kule akuombe kolabo ww...na sio ww uombe kolabo na wa kule...

Kwa hapa bongo Ambwene yesaya (ay)anau elewa mkubwa sana kuhusu colabo za nje ila hawataki kumtumia...
 
watu hawajui...ila ukweli ni kama ulivoongea mkuu...

Msaani wa kule akuombe kolabo ww...na sio ww uombe kolabo na wa kule...

Kwa hapa bongo Ambwene yesaya (ay)anau elewa mkubwa sana kuhusu colabo za nje ila hawataki kumtumia...
unajua kibinadamu kuna kuchokwa pia au kuchokana leo ukifanya collabo na msanii kama busta ryhmes itastua huku siyo kule , trust me wa zamani au atleast wenye miaka 10 plus kwenye game walio maintain ni wachache sana labda beyonce au drake

Kuna hii new generation(ingawa nauichukia sana) ya kina da baby sijui li baby, lis nas x , card b, migos,stallions..amini usiamini ndiyo wanakimbiza na ma auto tune yao

Juzi nimeona Da baby soon anasafiri kwenda lagos ku shoot video nyimbo aliyomshirikisha davido, hapo ndo ujue kwamba tuzo kama BET kwa wawakilishi wa afrika itaendelea kuwa vita kati ya davido,wizkid,burna boy

Strategy ya sadala kufanya african fleva , fusion kama ile na kofi olomide asiache kamwe tena aende souuth africa akatafute ma legendary kama ladysmith black mambazo atatoka na kitu kitamu sana ndiyo maana hata sound tracks za ile animated movie ya lion king zile vocal za wasouth africa hazitakaa zichuje milele
 
ilishangaza sana zile ndo za kuchomokea ,hawa jamaa unaweza wapa hela wakishaingiza verse utajijua mwenyewe ukitaka akupe promo ongeza hela ,angalia collabo ya rick ross aliyoipata kwa connection ya wote kuwa mabbalozi wa kinywaji cha bel air akavurunda tena pale unaona Rick Ross alipost kidogo kwa sababu ya kuwa balozi sijui business patner wa hiyo drink

Mtu anayepasua kimasihara America ni wizkid sielewi how he does it kiukweli anayemuharibia ni Burna boy sababu tobe honest nyimbo z a burna ni level nyingine na chemistry yake na P diddy iko level nyingine

Ukweli ni kwamba bahati aliyopata sadala ya kuwa close na Swiss beats angeipata Nyashiski au sauti sol tungeongea mengine leo maana tusidanganyane kutumia english matters sana kama hutumii english basi kuwa na flavour na mavocal ya kufa mtu kam wa south africa nyimbo kam jerusalema haijalishi hata lugha gani imetumika
We jamaa mziki unaujua...sijui kwann usiwe meneja wangu
 
All in all

Bongo ni BAHATI MBAYA

Wasanii wengi wanafikilia nikifanya hiki ..je Clouds,wasafi,eatv na Efm wataongea nn!

alafu wenzetu
Wanaangalia 'STATUS' Ipoje

Kwangu mimi kwa Africa ni kuna AKON &WIZKID,JOSE CHAMILION,AY,DAVIDO Na Fally ipupa
 
Back
Top Bottom