Vinapanda beo Kila siku vitu Vinapanda bei we mama weee- by bladkey"Unamuona mlupo kisa ulimgonga kwa mshiko,
Anakuomba madusko anahonga batonga anagonga vitu,
Unamuita darling au wife mama mamito, Unapata habari za wanafiki kuna walafi wanamla hadi jicho
Unaemtaka haumpati utampata wapi,Anaekutaka hautaki haumpi nafasi....”
#fidQ #ulimimbili
shuka na yako kibingwa
iko siku tutaenda kununua sukari na pesa ndoo mbil
Naelewa basii🤣🤣iyo atalia mama yake ndomana ya kasongo.......😃
Atalia mama yake kama anaeee 😂😂😂😃😃kasongo yeye
Mwanangu unazingua;😃😃kasongo yeye
Hakuna papara taratibu tunabang tumeegemea ukuta, shori akijichanganya na kiuno kigumu spana tumebeba walah hatojuta..../Protocols za viwanja.
Agiza kinywaji lipia kabla hujalewa, kuna manzi anaingia muite ka' umemuelewa.../
Awe peke yake asiwe na kampani za mashosti, akisepa bila kuliwa sio mtaani hadi insta ataku post.../
Huku viwanja tuna utamaduni, demu hata akukatae haturushi ngumi.../
Cheo chako hakina nafasi kwenye maeneo ya wahuni, na ndio maana vibopa hawatupoli mademu kwa jeuri ya uchumi.../
Unakuja bar na bunduki, watu wanakushangaa na haustuki.../
Basi unajiona star kumbe mamluki, we ni mavi ya kale huna kinyaa na haunuki.../
Dedicated to Derick
Bob zima fegi unakatiza feeling stationMwanangu unazingua;
Acha kujichetua; Mtoto wa kishua;
mbana pua;
Hapa ni kilinge, punch line tuzitunge
Iwe kiswahili au kinge
Hakuna kwenda tenge
Kuwaza posho ka mbunge; acha wenge
Ohh!Naliaa,Ohh!Naliaa,,Ohh Naliaa,,,Mapenzi mapenzi jamaaniii ehh...!!nikumbuke kwa barua japo kuwa hunioni
tabasamu la usoni, simanzi ipo moyoni
mapenzi ya long distance yatakuuwa😃😃